AsanteHakuna shida au jitahidi ubebe kadi utaenda clinic za huko unakoenda.
Ulivyoenda clinic hawaku fokea? ManesHakuna shida, mwenyewe nimevusha wiki mbili kwa vile nilikuwa sehem nyingine kwa majukum ya kiofisi
Wala hawakuwa na shida kbs, waliniuliza tu mbona siku zilipitiliza nikawaambia nilikuwa safarini kwenye majukum ya kiofisi.Ulivyoenda clinic hawaku fokea? Manes