Habari za asbuhi wapendwa, kama mada ilivyo hapo juu. Ninasafari kikazi nje ya mkoa ambay itanichukua zaidi ya cku kumi ambapo ndani ya hizo siku trhe yangu ya clinc itatimia na kupita kama wiki hv
Sasa mi nauliza je, kutakuwa na shida nitakapoenda baada ya wiki moja mbel?
Wajuzi nijuzeni
Nawasilisha
Sasa mi nauliza je, kutakuwa na shida nitakapoenda baada ya wiki moja mbel?
Wajuzi nijuzeni
Nawasilisha