Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 136
- 514
Mjane mmoja huku kitaa aliyefiwa na mumuwe na kuachiwa mi mali yakushiba ikiwemo mi jumba ya kifayari, mindinga ya maana na ma maduka ya ujazo yote amegoma kurithiwa na shemeji yake.
Shemeji mtu ni kaka wa marehemu hivo alitaka amrithi huyo mjane ili mali zisiende mbali na nyumbani.
Sasa huyo mjane amegoma na anataka alete boya wake ndio waishi naye.
Je, ni haki kweli?
Kwanini agome kurithiwa?
Shemeji mtu ni kaka wa marehemu hivo alitaka amrithi huyo mjane ili mali zisiende mbali na nyumbani.
Sasa huyo mjane amegoma na anataka alete boya wake ndio waishi naye.
Je, ni haki kweli?
Kwanini agome kurithiwa?