Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mwenyezi mungu amjalie utulivu na afya iliyo njema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatupo huko mkuu, ispokuwa anaonekana kwa sasa anautulivu na hata mlo unapita vizuri.Kwamba marehemu alikuwa tatizo hadi kwa familia yake
Hivi ni mkali gani atakuwa amechukuwa jukumu la ''kumliwaza'' nyakati za usiku?Kwamba marehemu alikuwa tatizo hadi kwa familia yake
[emoji28][emoji28]huu uzi una zengwe ila ilo zengwe limefinyiwa kwa ndani.
Nafikiria kwenda kumpa pole ya uzito stahili.Hivi ni mkali gani atakuwa amechukuwa jukumu la ''kumliwaza'' nyakati za usiku?
Zengwe gani tena?huu uzi una zengwe ila ilo zengwe limefinyiwa kwa ndani.
Lazima Umean, Umeanzishwa Kuleta Nongwahuu uzi una zengwe ila ilo zengwe limefinyiwa kwa ndani.
Kwanini MkuuHuyu mama anakifua sana.
Mbona kama kwa sasa kawa na afya njema zaidi😀Mwenyezi mungu amjalie utulivu na afya iliyo njema.
View attachment 2496940
Marehemu alikua na ghubu..Kwanini Mkuu
Mzilankende Alikuwa Hampi Raha Kipindi HajafaMarehemu alikua na ghubu..
na ana mkapa je, shangaz yanguNafikiria kwenda kumpa pole ya uzito stahili.
watu wachokozi sana. wanataka kumchokoza hadi hayati.