Kuliko usubiri kupata mtaji ndio uanze kwanini usianze kidogo kidogo huku unapata experience zaidi na kukuza mtaji?
Pili kama issue ni mashine kuna watu humu nilishaona wanakopesha incubatorsincub labda watafute kama kweli una uhakika na hilo soko ingawa sidhani kama soko ni rahisi hivyo bila kutengeneza reputation
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.