ShangaaMnataka uhuru wa kuongea kwenye siasa wakati uhuru wa kutoa umbeya mnaukandamiza... Mange kafanya kutoa taarifa eti roho mbaya, kama kasema uongo we mwenye roho nzuri na mkweli kanusha la sivyo we ndo una wivu na Mange
Diamond apunguze kiki... Siku asije kusema tumchangie manake hawa bongo fleva na bongo movie ni pasua kichwa
Mange yeye anapewa taarifa. Na pengine na watu wa karibu kabisa na wahusiki. Mange ni mwandishi kama walivyo wengine. Suala la nyumba ya South hakuna mwenye uhakika ni ya nani. Nadhani mda ukifika itajulikana.Mange alishatuambia nyumba ya SA pia ni ya Kinje sio Diamond;Yule dada ni secret admirer wa Domo,There is a thin line between love and hate!!!Watu wa design ya Mange kufanikiwa ni ngumu sana!!!
Wabongo wananongwa hatare ukiwa maskini Wanachuki Ukiwa tajiri wanachukia ya tafraniKwani kuna sehem diamond kaandika anamiliki hiyo nyumba au kasema new home?!
Duh. mm insta nilijitoa nimebaki na jf tuuC a naomba mchango kila siku insta , Kwan binamu hujui
Binamu ile nyumba ya usa umetuma humu mbona kama magomeni kotaMange katoa hadi namba ya mwenye nyumba, chezeya
Mimi nikikuambia nina nyumba 2 na Mange akabisha na wote hatujatoa proof!nani utamwamini na kwa nini?Mange yeye anapewa taarifa. Na pengine na watu wa karibu kabisa na wahusiki. Mange ni mwandishi kama walivyo wengine. Suala la nyumba ya South hakuna mwenye uhakika ni ya nani. Nadhani mda ukifika itajulikana.
Na ana uwezo mkubwa wa kukutungia kashfa na watu wakaamini toka enzi hizo za U-turnNadhani wanaomjua Mange hawapati shida kumuelewa. Mange ni Mwandishi kama walivyo kina Millard na wengine ila tofauti yeye anaandika kishabiki. Aliwahi kumiliki Blog kabla sheria ya mtandao haijamkumba. Alikuwa ni blogger mzuri mno. Hata sasa bado anabaki kuwa mwandishi mzuri mno. Mange anaweza kuandika gazeti usichoke kusoma. Ana uandishi mzuri mno.
Ushamba mzigoHalafu Mange ni mtoto wa Ushuani huyu. Hizo nyumba Baba yake kaacha kama zote. Na baadhi wamerithishwa. Huo wivu kwake wa nini???
Wewe na huyo anayedaiwa kupanga nyumba ni watu wawili tofauti. Dai ni Celebrity wewe je???Mimi nikikuambia nina nyumba 2 na Mange akabisha na wote hatujatoa proof!nani utamwamini na kwa nini?
Point ni unachaguaje side ya ukweli wakati hakuna aliyeonyesha vielelezo?unatumia criteria gani kumuamini Mange kuliko Domo?kama kudanganya kabla wote walishawahi kufanya hivyoWewe na huyo anayedaiwa kupanga nyumba ni watu wawili tofauti. Dai ni Celebrity wewe je???
Nadhani wanaomjua Mange hawapati shida kumuelewa. Mange ni Mwandishi kama walivyo kina Millard na wengine ila tofauti yeye anaandika kishabiki. Aliwahi kumiliki Blog kabla sheria ya mtandao haijamkumba. Alikuwa ni blogger mzuri mno. Hata sasa bado anabaki kuwa mwandishi mzuri mno. Mange anaweza kuandika gazeti usichoke kusoma. Ana uandishi mzuri mno.
Wakuja hao wamekaririshwa na Mange;Ile nyumba pale Africana inakaribia kuwa gofu haina MaintenanceNdio kazaliwa ushuani Ila maisha yanabadilika, sasa hvi Hana kitu binamu
Yani mimi tangu Wema Sepetu aseme kanunua nyumba ya Mil 400 akawaalika na waandishi wa habari,kumbe nyumba sio yake,huwa siwaamini kabsa hawa wasanii wa bongoMakubwaa
Hivi nayo mlikuwa mnaamini ni ya DIOMNDI? Kila siku nasema Msanii mwenye hela hawezi kuishi kwenye nyumba kama ile ya madale yenye kiwanja cha 25 kwa 25....DIMONDI ana UTAJIRI wa KIBONGO tu kuwa na Njumba Ndogo na Mabati mawili matatu ya mjapani tu baasi.nyumba ya south yenyewe wamepanga