EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
- Thread starter
-
- #21
Ndio hivyoo mkuuKwa maisha ya sasa ya kuwindana ,chumba lazima kiwe na choo na jiko ,mambo ya kukojoa kwenye makopo ni UCHAFU au kuamka usiku kwenda choo cha nje wazee wa kazi wakakutime.
Thanks for your comment, we will improve moreInapendeza ila noana wajumbe wanakupa makavu...
hapana sijawai somea kokote najifunza mwenyewe muda ambao niko free nachangamsha ubongo mwenyeweMkuu upo mwaka wa kwanza nn...jaribu pia kutembelea site nying sehem tofaut tofaut kuna raman nying sana nzuri na unaweza kibun zaid
Ok gud...fanya homework na quiz za kwenye hizo tutorialshapana sijawai somea kokote najifunza mwenyewe muda ambao niko free nachangamsha ubongo mwenyewe
Ngoja nifanye hivyo mkuuOk gud...fanya homework na quiz za kwenye hizo tutorials
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maisha ya sasa ya kuwindana ,chumba lazima kiwe na choo na jiko ,mambo ya kukojoa kwenye makopo ni UCHAFU au kuamka usiku kwenda choo cha nje wazee wa kazi wakakutime.