Chuga wakishakula bange mishipa inalegea. Pia, influence ya utalii imewafanya vijana kutoa jicho kama namna ya kuongeza kipato na kupata wazee wa kizungu.
Duuh!Chuga wakishakula bange mishipa inalegea. Pia, influence ya utalii imewafanya vijana kutoa jicho kama namna ya kuongeza kipato na kupata wazee wa kizungu.
Katika maisha ya mwanadamu hakuna ukweli au uhalisia ambao mara nyingi watu wengi huwa tunajaribu kuukimbia kama kujua kuwa pamoja na uhalali wa mtu kumiliki na kutumia anachomiliki atakavyo bado tamaduni na sheria za jamii yake zinambana na anapaswa akubaliane nazo. Tabu ni pale unapotaka kuleta utamaduni wa kigeni au mpya katika jamii yako na kutaka kuifanya jamii nzima ikubaliane na takwa lako. Na hii inajidhihirisha katika maneno, shutuma na kuandamwa kwa mtu na jamii husika.Umesema haswaa kila MTU anatumia mwili wake atakavyo, hakuna kupangiana
Kumbe wewe ndiye @khantweWewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwako
Kwahiyo wewe unaweza kuwazuia watu wasifirwe?Katika maisha ya mwanadamu hakuna ukweli au uhalisia ambao mara nyingi watu wengi huwa tunajaribu kuukimbia kama kujua kuwa pamoja na uhalali wa mtu kumiliki na kutumia anachomiliki atakavyo bado tamaduni na sheria za jamii yake zinambana na anapaswa akubaliane nazo. Tabu ni pale unapotaka kuleta utamaduni wa kigeni au mpya katika jamii yako na kutaka kuifanya jamii nzima ikubaliane na takwa lako. Na hii inajidhihirisha katika maneno, shutuma na kuandamwa kwa mtu na jamii husika.
Ni kweli kuwa kiungo hicho ni mali yako, umepewa na Muumba wako bure, lakini je katika jamii uliyokuzwa nayo inakubalika kukitumia utakavyo au ni kinyume na matarajio ya jamii husika? ......Ukitaka kutumia uhuru huo tafuta jamii nyingine inayobariki matakwa yao.
Hizi lugha za ni mali yangu natumia nitakavyo ni kujifariji tu kwa muhusika na wala haijustify kuruhusiwa au uhuru wa kukitumia kwa style atakayo. Kauli za namna hii huwa hazina mashiko na wala hazijengi hoja na kama zingekuwa zinajenga hoja wangekuwaga wanaruhusiwa na wao wenyewe wangekuwa huru kufanya waziwazi bila wasiwasi wala kutumia nguvu nyingi kujustify matendo yao.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hapanaKumbe wewe ndiye @khantwe
Nimekugundua katika uzi huu, ulibadili jina ila namshukuru mungu mie huwa siendi PM ovyo! Naendaga ya joanah tu. Nadhani umewakamata wengi
Sikubadili kwaajili ya kukamata watuNimekugundua katika uzi huu, ulibadili jina ila namshukuru mungu mie huwa siendi PM ovyo! Naendaga ya joanah tu. Nadhani umewakamata wengi
Mdogo wangu yaani hata wewe hujui mwandiko wangu [emoji24][emoji24]Kumbe huyu ndio khantwe??!!
Kuna uzi nilikua najaribu kumtag nashindwa kumbe kabadili jina [emoji134]
Mdogo wangu yaani hata wewe hujui mwandiko wangu [emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe we mbaguzi [emoji16][emoji16][emoji16] post za wageni husomi?Nisamehe dada [emoji17][emoji17]
Nilikuwa naona hii ID asa nikawa naipita tu bila kusoma inachoandika manake nilijua ni mgeni
Kumbe we mbaguzi [emoji16][emoji16][emoji16] post za wageni husomi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbeMara nyingi huwa sipay attention na IDs mpya,labda iwe inaniquote ndio huwa naanza kuinotice na kuizoea zoea [emoji85]
My ndo hivyo tena! Pengine alimess na hiyo ID sasa amekuwa mpya. Sometimes shit happens! Hata mimi siku ukinikubali nabadili jina naitwa mshindi wa njinjoKumbe huyu ndio khantwe??!!
Kuna uzi nilikua najaribu kumtag nashindwa kumbe kabadili jina 🙆
It’s okay enjoy as am enjoying with joanah . Please pray for me
Kubadili ID ni maamuzi tu sio lazima iwepo hiyo sababu uliyoassume hapoMy ndo hivyo tena! Pengine alimess na hiyo ID sasa amekuwa mpya. Sometimes shit happens! Hata mimi siku ukinikubali nabadili jina naitwa mshindi wa njinjo
Teh eti nilimessMy ndo hivyo tena! Pengine alimess na hiyo ID sasa amekuwa mpya. Sometimes shit happens! Hata mimi siku ukinikubali nabadili jina naitwa mshindi wa njinjo
Muache afikirie hivyo hivyoKubadili ID ni maamuzi tu sio lazima iwepo hiyo sababu uliyoassume hapo