Mji mzito huu part 2

Pole yake Jux Mimi nikajua Rijali,vipi kuhusu kusoma Kule China? Na kuna kipindi Jux alikuja juu kimziki mpaka ikaja steji anapambanishwa na diamond katika song zake na video zake.
They say, "you aint real man until you get some haters."
 
Anika chats zao jombaa, maana ninachokiona ulikuwa unatishia kujamba wakati unaumwa tumbo la kihara[emoji23][emoji23][emoji23]

We can see through your lies man.

Kwan mnanilipa humu mxiee kupenda umbea tu mijanaume mizima, nipishen uko
 
Wewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwako
 
Kapicha bac mbona wenzio wame weka?
Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…