Mji mzito huu part 2

Mji mzito huu part 2

Anika chats zao jombaa, maana ninachokiona ulikuwa unatishia kujamba wakati unaumwa tumbo la kihara[emoji23][emoji23][emoji23]

We can see through your lies man.

Kwan mnanilipa humu mxiee kupenda umbea tu mijanaume mizima, nipishen uko
 
Go go go go warumi. Yatangaze hiyo mianaume shitholes. Fukua na wengine. Serikali yetu inapiga vita hii haramu. Tuko nyuma yako tunakuunga mkono.
warumi huwa haandiki habari za uzushi. Kwa kuwa wenyewe wametajwa kabisa basi waje hapa wabishe au waende mahakamani halafu Warumi waombe mawasiliano yao yapekuliwe. Chali wote hao. Goooooo warumi tuko nawe kupambana na hawa wanaomdhihaki Mungu kwa maumbile yao.
Wewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwako
 
Kapicha bac mbona wenzio wame weka?
Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
 
Back
Top Bottom