Mji mzito huu

Mji mzito huu

Ujue mimi nilidhani binti atakuja na bonge la project baada ya ile kesi ila kimyaaaaaa! Mwisho anatujea na maronya yake. Mwanzoni alijidai kama anagawa bure baadae akatubadilishia gia angani.

Basi ubuyu wote niupata ile siku ilipozuka skandali ya kupigwa na bwana. Nilipewa ubuyu mzito kwamba bwana anachepuka vibaya mnoooo! Binti anavumilia mengi jamani!

Halafu bwana anamkontroo vibaya mnooo. Hataki binti hata apendeze, yake mashauzi ya zamani kila wiki photoshoot mara 2 hamna tena!
Ndio maana kapauka masikini [emoji24][emoji24]


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji11]shoga nakugawaaa!!!kumbe ndo maana kapoa siku hiziiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani yule Dada acha alipwe tu ameliza wengi mnooo!!!nakumbuka kashachanwa na viwembe kariakooo pale kipindi ndo ametoka kuacha shule kisa Mme wa mtu yaani acha kabisaa!!Mungu anamlipa kabla ya ndoa!!!mke wa Seth ndo acha tu inauma haswaa
Hata mimi nikadhani ameamua kuwa humble kwa ile kesi iliyomkuta kumbe wapi shoga! Nasikia bwana bahili hatariiiiiiii

Na nasikia anamtisha kwa jinsi alivyomsave na kifungo, hivyo binti inabidi awe mpole.
Ni wazi hana furaha, binti sio yule tunayemjua aliyekuwa na nuru na tabasamu tele.

Mwenzio huku JF ndipo ninapoweza kutoa nyongo ila kule naogopa block. Na huwa anafuatilia kila comment [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huku pia lazima anapitaga.

Karma shoga, karmaaaaa
Yule mke wa Seth aliniuma mnooo! Dada lizuri hatari mume akawa hasikii haoni kwa binti.
Ila alimkomesha kwa kumnyang’anya lile livogi maana tungekoma.


Kwani vile vyuma mdomoni kunani shoga?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi kichwa kizito nimeelewa. Ila jamani kwa ayyo imenisikitisha.mkaka mtulivu. Mimi nilijua pearl katulia tu baada ya matatizo kumbe anapitia mengi. Inabidi aendelee tu kuvumilia maana asomeshewe mdogo wake alishwe yeye na mama mtu .kuwa tegemezi ni jambo baya sana
Usiombe uwe tegemezi kwa kila kitu utasafa kwensikwensezii!!!acha kabisaa Dada ana hard time mnooo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binti ana jina kubwa nchi hii, akiamua kusimama mwenyewe anaweza tatizo status mama, status!
Anapenda mambo makubwa ndio inabidi avumilie yote... imagine amtoe dogo Feza leo hii ataweka wapi sura yake mjini?

Mimi yale meno naamini anapigwa kweli, tena kapigwa ngumi nzitonzito haswaaa.
Angekuwa na meno mabaya tungemuelewa lakini sio kwa meno mazuri yale...

Kuna wengine wanasema alidondoka kule jela [emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]halafu kweli ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nikadhani ameamua kuwa humble kwa ile kesi iliyomkuta kumbe wapi shoga! Nasikia bwana bahili hatariiiiiiii

Na nasikia anamtisha kwa jinsi alivyomsave na kifungo, hivyo binti inabidi awe mpole.
Ni wazi hana furaha, binti sio yule tunayemjua aliyekuwa na nuru na tabasamu tele.

Mwenzio huku JF ndipo ninapoweza kutoa nyongo ila kule naogopa block. Na huwa anafuatilia kila comment [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huku pia lazima anapitaga.

Karma shoga, karmaaaaa
Yule mke wa Seth aliniuma mnooo! Dada lizuri hatari mume akawa hasikii haoni kwa binti.
Ila alimkomesha kwa kumnyang’anya lile livogi maana tungekoma.


Kwani vile vyuma mdomoni kunani shoga?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmh hili la vyuma mimi pia nilikiwa najiuliza nikajua ndio urembo wa siku hizi maana naona wengi wanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom