Mji mzito huu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji11]shoga nakugawaaa!!!kumbe ndo maana kapoa siku hiziiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani yule Dada acha alipwe tu ameliza wengi mnooo!!!nakumbuka kashachanwa na viwembe kariakooo pale kipindi ndo ametoka kuacha shule kisa Mme wa mtu yaani acha kabisaa!!Mungu anamlipa kabla ya ndoa!!!mke wa Seth ndo acha tu inauma haswaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiombe uwe tegemezi kwa kila kitu utasafa kwensikwensezii!!!acha kabisaa Dada ana hard time mnooo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]halafu kweli ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh hili la vyuma mimi pia nilikiwa najiuliza nikajua ndio urembo wa siku hizi maana naona wengi wanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…