DaaaaaHahaaa....mjela jela inakula kwake yaani huyo iyobo wenyewe jinga tu kuna siku demu wake anaenda kuliwa kamsindikiza akamuambia naenda kuongea nao kuhusu muvi nsubiri kaenda juu mshkaji anasubiri chini demu kumbe kaenda kuliwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo fulani kusemwa sana hakulifanyi liwe jambo la kweli.Likisemwa sana jua ni la ukweli. Na ww hyo nyumba ya ibada tunaushahidi gani kama ni kweli
Jambo fulani kusemwa sana hakulifanyi liwe jambo la kweli.
Ulipotea sana.I really miss you mwanangu.Nikija utafute kiwanja nikupelekeYamekwisha 🥂
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulipotea sana.I really miss you mwanangu.Nikija utafute kiwanja nikupeleke
kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!
Uwe unanipa kwanza mimi kule chemba yaani kumbe ndo mbaya kiasi hichoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji11]shoga nakugawaaa!!!kumbe ndo maana kapoa siku hiziiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh hili la vyuma mimi pia nilikiwa najiuliza nikajua ndio urembo wa siku hizi maana naona wengi wanavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lulu asikubali hii ndoa akimbie ajifanyie yake sikuhizi kapauka, wanaume type ya majizo ni toxic kwenye relations aiseeWala sio urembo, tena unaambiwa vinauma hatari.
Lulu aache kutudanganya, meno yake hayakuwa na kasoro yoyote.
Zile rumors za vipigo zitakuwa kweli...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizi tecno wereva sio kabisaView attachment 1029369
Ni nani huyo mkuu...mgeuze jina lake liwe la kingerezaDah huwezi amini ndo mchumia tumboni pekee nilikua namuona anafaa
According to the codes it is a minister of state who wanted to be appointed a Prime minister for his work but the jiwe refused and threw him to a min ministry. The only one of the origin gang of 3 to survive the purge to date.
Sababu nini aiseenilishapandaga na police mmoja kwenye bas akawa anatueleza kwa nn huko ndio mchele super unapatikana huko
Sent using Jamii Forums mobile app