Mji mzito huu

Mji mzito huu

Hii dunia inakoelekea huku hapana jaman....inamaana ukiwa maarufu ndo utafunwe?.....i wish i could be a star maana ningetafuna wadada wote wa mjini wazuri..hakuna kitu kinanoga kwa mwanaume kama unavuta mkwanja wako unaenda kula good time na mwanamke wako.....inashangaza sana kuona dume zime linapumuliwa kisogoni na mwanaume mwenzie..halafu unaannzaje kumtongoza mwanaume mwenzio?au unaanzaje kujipendekeza kwa mwanaume mwenzio ili akutafune?..nimeamin kuna watu hawana aibu hapa dunian
 
Hizi tecno wereva sio kabisa
52768880_329860851206777_3319578791937163701_n.jpg
 
Ulipotea sana.I really miss you mwanangu.Nikija utafute kiwanja nikupeleke

Ayeeeeeeeee
Me more Dady, haki siwezi kusubiri kabisa [emoji39][emoji39][emoji39]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!

Ila Broh ujue hii kitu inakuwa ngumu kuamini? itabidi tufanye mpango unisimulie vizuri.
Basmati paleeeeee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmh hili la vyuma mimi pia nilikiwa najiuliza nikajua ndio urembo wa siku hizi maana naona wengi wanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala sio urembo, tena unaambiwa vinauma hatari.

Lulu aache kutudanganya, meno yake hayakuwa na kasoro yoyote.
Zile rumors za vipigo zitakuwa kweli...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wala sio urembo, tena unaambiwa vinauma hatari.

Lulu aache kutudanganya, meno yake hayakuwa na kasoro yoyote.
Zile rumors za vipigo zitakuwa kweli...


Sent from my iPhone using JamiiForums
Lulu asikubali hii ndoa akimbie ajifanyie yake sikuhizi kapauka, wanaume type ya majizo ni toxic kwenye relations aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mahusiano ya huyo alianziaga kwa small brother kumkoboa, jamani imagine mtu apewe u prime minister huku ni homo..... Hicho kitendo kilinifanya nimshushe heshima yake aisee.

Umenichekesha eti the jiwe refused and threw him, kumbe our president alifanya vyema kumtupia huko aisee
According to the codes it is a minister of state who wanted to be appointed a Prime minister for his work but the jiwe refused and threw him to a min ministry. The only one of the origin gang of 3 to survive the purge to date.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom