Mji mzito huu

Shida itoke wapi wakati kwenda UN headquarters, Geneva ni kama wewe kwenda kariakoo, bhado mihela ya shopping, outings etc.

Hata yule mwenzake rafiki yake sijui ndio noeli fashionista, alitamba kujirekodi video na jokate akitwerk , kapangiwa apartment, japo kuna kipindi waligombana kwaajili ya kuibiana danga sijui.


Kingine yule say davito, kaachika na manager wa power to you hana channel mjini hapa. Alivyozubaa hata hakuhiestablish pindi yupo na meneja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule Rio yuko smart mno hana shida yoyote kivile shida ni yule stylish noel waliyeibiana danga na JoJo yeye ndo kampata mzungu anaye mjali hatari shopping south huko
Sent using Jamii Forums mobile app
 


usikute kale kambilikimo ndiko kanabanuliwa na huyo shoga, wanaume wa Dar jamani hawana staha hata kidogo. Aliskika jana pale msibani akinena kuwa Ruge ni baba yake na hakuwa na bifu naye.
 
Heeee!
Danga lipi hilo noel aliiba kwa jo jo?

Stylish kiupande fulani katumia akili kuwa na hata kioffice cha kuingiza kipato, japo rio yupo juu ziadi yake.

Wanao tia huruma ni hawa cheap ambao wanashinda clubs na mabar kudanga tena kibaya hawajali afya kabisa, wengi wamekanyaga umeme.

Na siku hizi kuna viwanja vyao maalumu, Kinondoni walo Papuchiro bar sijui, Pale double tree kuna Bar wapo, Tips Mikocheni wapo, Zingine nishasahau.
Yule Rio yuko smart mno hana shida yoyote kivile shida ni yule stylish noel waliyeibiana danga na JoJo yeye ndo kampata mzungu anaye mjali hatari shopping south huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weee usinambie?[emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna danga noel alimuibia JoJo wakagombana. Stylish ni.msomi hata Rio nadhani wanajali afya zao ngoma ni kwa hawa mashoga wa chafu wa mtaani na wale wanao mgandaga Wema, wale hawajielewi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…