Mji mzito huu

Mji mzito huu

Wale wanadanga ka wanawake mbona hawawezi kusubiria mmoja atleast hao ni class tofauti na hawa wengine.
Huyo.aliyepangiwa na fa fa fa zamani sasa kapangiwa apartment na mzungu huko masaki mambo yake safi hatari hana shida yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida itoke wapi wakati kwenda UN headquarters, Geneva ni kama wewe kwenda kariakoo, bhado mihela ya shopping, outings etc.

Hata yule mwenzake rafiki yake sijui ndio noeli fashionista, alitamba kujirekodi video na jokate akitwerk , kapangiwa apartment, japo kuna kipindi waligombana kwaajili ya kuibiana danga sijui.


Kingine yule say davito, kaachika na manager wa power to you hana channel mjini hapa. Alivyozubaa hata hakuhiestablish pindi yupo na meneja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule Rio yuko smart mno hana shida yoyote kivile shida ni yule stylish noel waliyeibiana danga na JoJo yeye ndo kampata mzungu anaye mjali hatari shopping south huko
Shida itoke wapi wakati kwenda UN headquarters, Geneva ni kama wewe kwenda kariakoo, bhado mihela ya shopping, outings etc.

Hata yule mwenzake rafiki yake sijui ndio noeli fashionista, alitamba kujirekodi video na jokate akitwerk , kapangiwa apartment, japo kuna kipindi waligombana kwaajili ya kuibiana danga sijui.


Kingine yule say davito, kaachika na manager wa power to you hana channel mjini hapa. Alivyozubaa hata hakuhiestablish pindi yupo na meneja.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa


Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo kwenye mahusiano yasiyofaa na mtangazaji wa kiume wa radio nyingine , ambapo mtangazaji huyo pia anamiliki duka la nguo.

Juzi kati maeneo ya bahari beach usiku kuliibuka na timbwili zito kati ya wawili wao, ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi, Boss huyo anatarajia kuoa hivi karibuni, ambapo mtangazaji huyo anapinga vikali na hataki kusikia habar za ndoa Kwan anataka kuendelea ku enjoy penzi na pesa za kibosile huyo ambaye kimuonekano ni mfupi na mpole asiye na makuu.

Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.


Mtangazaji huyo wa kiume anasifika sana kwa kusafir nchi mbali mbali duniani kwa pesa za mpenzi wake huyo wa siri ambaye inasemekana wapo wote mwaka wa tatu na nusu sasa, mmh mji mzito huu

Ila malkia wa mashauzi sijui atakua anamjua mke mwenzie mmh , mambo mengi mda mchache, Ila ata akijua atafanyaje? Chezeya nguvu ya pesa weye



Sasa hivi ntakua nawaletea ubuyu hot kwa code tu 🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums


usikute kale kambilikimo ndiko kanabanuliwa na huyo shoga, wanaume wa Dar jamani hawana staha hata kidogo. Aliskika jana pale msibani akinena kuwa Ruge ni baba yake na hakuwa na bifu naye.
 
Heeee!
Danga lipi hilo noel aliiba kwa jo jo?

Stylish kiupande fulani katumia akili kuwa na hata kioffice cha kuingiza kipato, japo rio yupo juu ziadi yake.

Wanao tia huruma ni hawa cheap ambao wanashinda clubs na mabar kudanga tena kibaya hawajali afya kabisa, wengi wamekanyaga umeme.

Na siku hizi kuna viwanja vyao maalumu, Kinondoni walo Papuchiro bar sijui, Pale double tree kuna Bar wapo, Tips Mikocheni wapo, Zingine nishasahau.
Yule Rio yuko smart mno hana shida yoyote kivile shida ni yule stylish noel waliyeibiana danga na JoJo yeye ndo kampata mzungu anaye mjali hatari shopping south huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke tena wakati kapangiwa apartment masaki na muzungu? Au ndio sidechick wake?

Mmmh.. !

Zachini nikwamba mkolomije alimpa kijana fulani jina wala sura simjui, apartment kule upper residential areas ili awe anamtelezesha taroni popote ajisikiapo sasa kijana kula ugali tu akaona ameloose appetite, akatafuta appetizer kinyume na mkataba wa big boss, alivyogundua alipanick fukuza kijana na kuchukia sana kiasi cha kuanzisha kampeni kama sehemu ya kutolea hasira.

Yasemwayo Yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee usinambie?[emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna danga noel alimuibia JoJo wakagombana. Stylish ni.msomi hata Rio nadhani wanajali afya zao ngoma ni kwa hawa mashoga wa chafu wa mtaani na wale wanao mgandaga Wema, wale hawajielewi kabisa
Heeee!
Danga lipi hilo noel aliiba kwa jo jo?

Stylish kiupande fulani katumia akili kuwa na hata kioffice cha kuingiza kipato, japo rio yupo juu ziadi yake.

Wanao tia huruma ni hawa cheap ambao wanashinda clubs na mabar kudanga tena kibaya hawajali afya kabisa, wengi wamekanyaga umeme.

Na siku hizi kuna viwanja vyao maalumu, Kinondoni walo Papuchiro bar sijui, Pale double tree kuna Bar wapo, Tips Mikocheni wapo, Zingine nishasahau.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom