Kama nakuona ukiuza pete ya kisoda[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo yashakuwa mengi sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Cant wait kama gauni la mahari niliuza mwanzoniii sembuse ka pete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila navumilia dogo amalize std seven sekondari ataenda st kayumba ebo!!
Muda muchache sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atafanyaje, lazima abanane tu hahahah. Ila wanaume wa dar sijui wakojeNdo mana joto halipungui sababu ya mambo kama haya.
Kama namuona bidada jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani km atatoka hapo, ngojeni muoneCant wait kama gauni la mahari niliuza mwanzoniii sembuse ka pete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila navumilia dogo amalize std seven sekondari ataenda st kayumba ebo!!
Muda muchache sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiniambie kapata mchumba huyu au kafunga ndoa, maana kitambo sanaUwiii nikajua umefichwa mpaka mwezi ujaooo kumbe upo
Usiniambie kapata mchumba huyu au kafunga ndoa, maana kitambo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nikajua bi dada kawekwa ndani kimya kimya.Hahaha umejiongeza sana bana ,huwa yupo busy sana haonekani humu kitambo
Mwenznagu tutabanana tu , china harudi mtu , yan lile jumba lote la mbweni kule namwachia nani? Mxieww msinitanie, nitawaroga tena🤣🤣🤣🤣
Save harusi yangu 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaan pangekuwa hapatoshiHome pasingekalika kule kwa ubuyu wa bibie kutunyima ubweche
Sasa mbona kimyaa jamaniWatu wanaogopa ya kina kanumba , chezeya kaburi weye, maisha matamu binamu🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums