Mji mzito huu

Mji mzito huu

Yani pesa ni kichaka cha uovu, watu wanamuonea wivu mtoto wa watu kuwa kapata bahati , wangejua mambo mazito anayo kumbana nayo mmh , Yule mtoto ni super woman , anastahili tuzo , waoneni tu watu insta Ila msitamani maisha yao maana viatu vyao vizito


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cant wait kama gauni la mahari niliuza mwanzoniii sembuse ka pete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila navumilia dogo amalize std seven sekondari ataenda st kayumba ebo!!

Muda muchache sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom