Mji mzito huu

Mji mzito huu

Naona kanogewa mpaka anataka mwenzie asioe, Sasa sijui anataka kuolewa yeye, kuna Yule mwingine nasikia walioana kabisa africa kusini, kujifanya anaenda kurekod wimbo kumbe anaenda kuolewa, nakuja na thread mpya na code juu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatar sana!
 
kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!
Mungu tunusuru sisi waja wako!
 
Naona kanogewa mpaka anataka mwenzie asioe, Sasa sijui anataka kuolewa yeye, kuna Yule mwingine nasikia walioana kabisa africa kusini, kujifanya anaenda kurekod wimbo kumbe anaenda kuolewa, nakuja na thread mpya na code juu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hatimaye code imefunguliwa... chezeya mahaba weye... wambea tulisubur this moment finally its here , lol
 
Jitahid binamu utamuelewa tu ,code simple sana mbona, yan hapo ndo nimeanza kujifunza code , Sasa nikibobea c ntakupoteza mbea mwenzetu[emoji1787][emoji1787]


Sent from my iPhone using JamiiForums

Wanazengo mna vichwa vigumu kama skuna ya mama rwakatale mxiee
 
Back
Top Bottom