Mji mzito huu

Mji mzito huu

Kama ni. Siri we Umejuaje
Huwezi kuelewa pasipo kuwa makini, na suala hili n illegal hapa kwetu ndo maan hakna anae amini, ila km kna delicious James wanajionesha wazi ndo mnaamini,
Ila hili suala lipo San tena saiv limeshamiri haswaaa, mashulen, vyuon, makazini, viongozi wa selikali ndo usiseme.
 
Ahaaa mnasikiliza story za vijiwen pole yako ,dozen nmfaham kitambo Sana
Yaan we unasikia tu wat wanaropoka huko na we una conclude tu ,
Unamfahamuje? Mbona Kama una kitu unakijua fulan unaogopa kufunguka?
kwaya Azania
 
Wabong kwa story za kutunga hamuambo,
Kisa jamaa amewek maish yke private et mnamwita punga ,dozen ako na mke mdada flan hv hp dsm,
Dozen n jamaa flan mkimya Hana mamb y kiboy kama hayo ,

ingekuwa kweli mbna ingeshajulikana kitambo,sabab hay mamb hayana Siri ,
Upand wa mtonyo pesa y kutosha (born 2shine since day 1)
We umeyajua wapi hayo unayosema zaidi ya kukataa haya wanayosema
 
Poleeeeeh dozen alishawahi kutoka na jasiri had zama akajua ila ilkua [emoji347]tyuuh, then ruge akawa na boe (msanii fulan), ndo dozen akawa na majizzo, alipo rest muhaya, majay akaamua kuvuta chuma mjengoni
Dunia tamuuh, na mji mzito huu. Poleeeeh
Mmmhh ila muhaya na B15 ni ndugu mtu na mjomba wake
 
Back
Top Bottom