Mji mzito huu

Wee tena dea, lazima nikutag yaan.
Afu mic u moaah, [emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Mic you to dear, umemuona JoJo na Domo huko ig my dear, mbona anamtaftia mwenzake Case ya uhujumu uchumi?
 
Nenda tu, Domo mwenyewe wasn't comfortable wallah
[emoji23][emoji23][emoji23] nimeona lol, afu anaweka furaha na tabasamu la unafiki na woga,. Anaogopa ya DAS mwampamba. Hahah
 
Yaani joketi anamuumiza roho mweshimiwa hajui ni kumweka mwenzake hatarini
Sasa jamani dea, kwan huyo mheshimiwa atamuoa jojo?
Naye jojo anashindwa kutafuta mtu wa size yake, anahangaika na gumegume la kizee kisa teuzi lol. Polee yake
 
Daah , huu Uzi sio size yangu mazee ...nimeingia chocho sio🚶
 
Tz kwa kuzusha jamani

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…