Mji mzito huu

Khaaaaaaa jamani!!! Nlikua sijui hii
 
Chokostiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jameni baba G anaitwa muddy??? Sio francis tena????
Hahah!anaitwa Mohammed Rashid Sizyaa...kwao kusini alibadili dini baada ya kufika mjini dyadyaa ndo maana ndoa yake na Lulu ilikua na mikingamo maana wazazi wake woote waislam baba ake kwa sasa marehemu mzee Sizya hua anaendaga san kwao amejenga nyumba nzuri sana nafikir kwa pale kijijini hana mpinzani...
Dada niache kwa Leo!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watafika wamechoka sana!hawatainjoi mbinguni kwa husda zao[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Bro mbona unatetea sanaa
Au na weweee Pung ninii...?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…