Mji mzito huu

Mji mzito huu

Heee, ulikuwa wapi? Soma codes bibie. Defao analiwawaga miaka mingi aisee kwani hujui? Alikujaga bongo hapa mbona inafahamika sana miaka ya 2000 alipiga show akakaa muda sana hapa akafulia kumbe alikuwa ameletwa na mapapaa na alikuwa analiwa na Mattqqqqqq wa shirika la kupaa.

Sasa jiongeze kujua huyo jamaa alikuwa Nani codes zipo wazi humu
Khaaaaaaa jamani!!! Nlikua sijui hii
 
Chokostiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jameni baba G anaitwa muddy??? Sio francis tena????
Hahah!anaitwa Mohammed Rashid Sizyaa...kwao kusini alibadili dini baada ya kufika mjini dyadyaa ndo maana ndoa yake na Lulu ilikua na mikingamo maana wazazi wake woote waislam baba ake kwa sasa marehemu mzee Sizya hua anaendaga san kwao amejenga nyumba nzuri sana nafikir kwa pale kijijini hana mpinzani...
Dada niache kwa Leo!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watafika wamechoka sana!hawatainjoi mbinguni kwa husda zao[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hakna anayekataa ktk upingaji wa ushoga, ila mbinu na hoja bado hazijitishelezi, maadili yapi hayo? Wanyama wepi hao? Au kna ushahidi upi kuwa wanyama hawafany hivyo? Na kitu kutofanywa na wanyama ndo kiwe upotovu wa maadili?

kna mashoga wengne hawaamini ktk dini/iman, au hawaamini kbsa uwepo wa Mungu, vipi hawa wanaokolewa vipi?
Bro mbona unatetea sanaa
Au na weweee Pung ninii...?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom