Mji mzito huu

Mji mzito huu

Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
Daaah[emoji23]
 
Kuna yule mdogo wake na lady Jay Dee anaitwa Wancy nasikia aligongwa na kaapiiteen,dada mtu akawafumania hadi leo dogo hazi ivi na dada yake,huu mji mzito
Daah nilishangaa maana dada ba kaka walikuwa close ghafula kila mtu kivyake
Dunia hii siku tukifunguliwa jicho la 3 tutashangaa sana
 
Kwahiyo Kabila au asili kutoruhusu jambo, basi muhusika asifanye? Na km Kabila au asili hairuhusu hili jambo, mbna lipo sasa na hakna lolote linalofanyika kuonesha kuwa halikubaliki au sio sahihi kuwepo? Ina maanisha nn?
Kitu chochote jamii yoyote ambacho hawaja kiruhusu jua ni makosa manake unaenda kinyume.

Na uwepo wa jambo baya haina maana jamii imeiruhusu,mfano madawa ya kulevya, umalaya,human traffic vipo ila haina maana kama zimeruhusiwa.
 
Hakna anayekataa ktk upingaji wa ushoga, ila mbinu na hoja bado hazijitishelezi, maadili yapi hayo? Wanyama wepi hao? Au kna ushahidi upi kuwa wanyama hawafany hivyo? Na kitu kutofanywa na wanyama ndo kiwe upotovu wa maadili?

kna mashoga wengne hawaamini ktk dini/iman, au hawaamini kbsa uwepo wa Mungu, vipi hawa wanaokolewa vipi?
Basi kama hawaamini waishi kwa kufuata tamaduni zetu ambazo ushoga ni laana
 
Uyo mbona siyo mdogo wake jd. Dogo tumesoma nalo lile
Wewe sio tumbo 1 ila ni ndugu blood related, unakumbuka vile vipindi vya Jay Dee, EAST AFRICA TELEVISION? alikuwa anaonyesha maisha yake halisi na ndio alimtambulisha Wancy kila show ya JD dogo Wancy alikuwepo unakumbuka show za Anaconda?dogo alikuwa beneti na Dada mkuu kinoma baada ya kufumwa mambo yaka fall apart
 
Wewe sio tumbo 1 ila ni ndugu blood related, unakumbuka vile vipindi vya Jay Dee, EAST AFRICA TELEVISION? alikuwa anaonyesha maisha yake halisi na ndio alimtambulisha Wancy kila show ya JD dogo Wancy alikuwepo unakumbuka show za Anaconda?dogo alikuwa beneti na Dada mkuu kinoma baada ya kufumwa mambo yaka fall apart
Duh kwa iyo alifumwa live anapelekewa moto [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom