Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Majay kazaa mtoto wa kike na Mobeto piaAcha kabisaa huyo majay ana watoto 2 wa kiume na mmoja wa kuasili wa kiume,dozen ana 1 wa kiume!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majay kazaa mtoto wa kike na Mobeto piaAcha kabisaa huyo majay ana watoto 2 wa kiume na mmoja wa kuasili wa kiume,dozen ana 1 wa kiume!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yaani kavaa chupi kaja dukani kununua mkate hata mswaki hajapiga Ustaa ni kazi jamanii😅😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ungemfotoa tyuuh.
Hahaha haya banaSio kutunga ni kweli!atajskia km anavojiskia yeye tu hahaaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kavaa chupi kaja dukani kununua mkate hata mswaki hajapiga Ustaa ni kazi jamanii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Daaah[emoji23]Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
Sio picha tu hadi video
Usimnenee mtoto bwanaSasa c watakua wanagombania wanaume mtu na baba ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaman khaaaah
Hapana haliwi bali anapakuaYaani unataka sema ndugu ake CD analiwa samadi??[emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usimnenee mtoto bwana
Mtoto wake ni kiume,Mungu amlinde
[emoji2357][emoji2308][emoji2308][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hata wachukianao, huwa sku wanapatana, then maisha yanaendelea,
Kikubwa uhai tyuuh, maisha enyew mafupi.
Daah nilishangaa maana dada ba kaka walikuwa close ghafula kila mtu kivyakeKuna yule mdogo wake na lady Jay Dee anaitwa Wancy nasikia aligongwa na kaapiiteen,dada mtu akawafumania hadi leo dogo hazi ivi na dada yake,huu mji mzito
Kitu chochote jamii yoyote ambacho hawaja kiruhusu jua ni makosa manake unaenda kinyume.Kwahiyo Kabila au asili kutoruhusu jambo, basi muhusika asifanye? Na km Kabila au asili hairuhusu hili jambo, mbna lipo sasa na hakna lolote linalofanyika kuonesha kuwa halikubaliki au sio sahihi kuwepo? Ina maanisha nn?
Basi kama hawaamini waishi kwa kufuata tamaduni zetu ambazo ushoga ni laanaHakna anayekataa ktk upingaji wa ushoga, ila mbinu na hoja bado hazijitishelezi, maadili yapi hayo? Wanyama wepi hao? Au kna ushahidi upi kuwa wanyama hawafany hivyo? Na kitu kutofanywa na wanyama ndo kiwe upotovu wa maadili?
kna mashoga wengne hawaamini ktk dini/iman, au hawaamini kbsa uwepo wa Mungu, vipi hawa wanaokolewa vipi?
Anatetea mashoga sana nahisi ni mmoja waoTutoe dini manake unabikia na Uafrika wako au kabila lako ndiyo asili yako, je kuna kuna kabila lina ruhusu hili?
Dunia ina mambo imagine jamaa kaapiiteen kumgonga shemeji yake[emoji41]Daah nilishangaa maana dada ba kaka walikuwa close ghafula kila mtu kivyake
Dunia hii siku tukifunguliwa jicho la 3 tutashangaa sana
Wewe sio tumbo 1 ila ni ndugu blood related, unakumbuka vile vipindi vya Jay Dee, EAST AFRICA TELEVISION? alikuwa anaonyesha maisha yake halisi na ndio alimtambulisha Wancy kila show ya JD dogo Wancy alikuwepo unakumbuka show za Anaconda?dogo alikuwa beneti na Dada mkuu kinoma baada ya kufumwa mambo yaka fall apartUyo mbona siyo mdogo wake jd. Dogo tumesoma nalo lile
Duh kwa iyo alifumwa live anapelekewa moto [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Wewe sio tumbo 1 ila ni ndugu blood related, unakumbuka vile vipindi vya Jay Dee, EAST AFRICA TELEVISION? alikuwa anaonyesha maisha yake halisi na ndio alimtambulisha Wancy kila show ya JD dogo Wancy alikuwepo unakumbuka show za Anaconda?dogo alikuwa beneti na Dada mkuu kinoma baada ya kufumwa mambo yaka fall apart
Dah Vumilia kapotea sana alikuwa anajua sana kuimba.Hyo ya kula mande naikubali kabisaa tena akina Vumilia ,mwasiti n.k wale wameliwa saaana
Zamaradi mpk aligombana na Ray C kisa jasiri...ila hii ya ubasha kwangu ni mupyaaaaa....
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Duh!!!!Kuna yule mdogo wake na lady Jay Dee anaitwa Wancy nasikia aligongwa na kaapiiteen,dada mtu akawafumania hadi leo dogo hazi ivi na dada yake,huu mji mzito