Mji mzito huu

Mji mzito huu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuaje sasa, yule wa kuchezewa tyuuh, ushoga raha uwe na Elimu na ujitambue, mbna maisha utayaona simple sana, vibosile na vigogo vitakuweka ktk appartment za maan na miradi ya mapene,

Sasa tatzo la gays wa Bongo n la 7 D, wanachojua kujukoboa na kudanga wanaishia kuburuzwa na crew ya singeli, mbavu zangu mie, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A see we mwamba unafundisha mashoga jinsi ya kudanga na kupiga Pesa...?[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hahah!anaitwa Mohammed Rashid Sizyaa...kwao kusini alibadili dini baada ya kufika mjini dyadyaa ndo maana ndoa yake na Lulu ilikua na mikingamo maana wazazi wake woote waislam baba ake kwa sasa marehemu mzee Sizya hua anaendaga san kwao amejenga nyumba nzuri sana nafikir kwa pale kijijini hana mpinzani...
Dada niache kwa Leo!!!
Eeeeh kumbe ile franclizzy ni muddylizzy 😂😂😂
 
Habari ya defao, enzi global publishers wako kwenye chati mbona hii ilikuwa wazi hata wakina sisi tukaipata, upikuwa wapi eve? Bado ulikuwa mboondole nini mshikaji wangu!?[emoji23]
Si bora mboondole😂😂 hata mjini nlikua sijaja.
Enzi hizo nlikua bado mdogo asee kujua hayo mambo sio rahisi hizo zilikua story za wakubwa, huyo aliyemkamua hivo alikua nani huyo kigogo wa ATCL
 
Si bora mboondole[emoji23][emoji23] hata mjini nlikua sijaja.
Enzi hizo nlikua bado mdogo asee kujua hayo mambo sio rahisi hizo zilikua story za wakubwa, huyo aliyemkamua hivo alikua nani huyo kigogo wa ATCL
Nahisi ni huyu, aliyepigwa faini ya milioni 8 wakati kasababishia shirika hasara ya mabilioni ya pesa..

Jina la kwanza ni la Hasimu mkubwa wa goliati ama la kwanza la beckham...

Si huyu bwana matak@@
 
Nahisi ni huyu, aliyepigwa faini ya milioni 8 wakati kasababishia shirika hasara ya mabilioni ya pesa..

Jina la kwanza ni la Hasimu mkubwa wa goliati ama la kwanza la beckham...

Si huyu bwana matak@@
😂😂 Kuna mambo yanachekesha na kusikitisha, yani nimemgoogle defao jinsi alivozeeka na alivojikrimu kweli kweli, nikaconnect na huyu boss na hii habari 😂😂😂 mambo ni mazito
 
[emoji23][emoji23] Kuna mambo yanachekesha na kusikitisha, yani nimemgoogle defao jinsi alivozeeka na alivojikrimu kweli kweli, nikaconnect na huyu boss na hii habari [emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mazito
Dunia pana hii... Mzee defao alipelekewa moto akaishia kulazwa na kulazwa... Enzi hizo vumbi la kongo bado sijui alimlia viagra..

[emoji23]mji mzito kweli huu[emoji23]
 
Dunia pana hii... Mzee defao alipelekewa moto akaishia kulazwa na kulazwa... Enzi hizo vumbi la kongo bado sijui alimlia viagra..

[emoji23]mji mzito kweli huu[emoji23]
😂😂😂 Daaah hivi si atakua na mke na watoto mzee defao nimejaribu kugoogle sioni chochote kuhusu familia, au ni senior bachelor???
 
Watafika wamechoka sana!hawatainjoi mbinguni kwa husda zao[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maan wanateseka San, af wahusika hawana habae wala hawajar, wanakula tyuuh life, weuweeeeeh
 
Hahah!anaitwa Mohammed Rashid Sizyaa...kwao kusini alibadili dini baada ya kufika mjini dyadyaa ndo maana ndoa yake na Lulu ilikua na mikingamo maana wazazi wake woote waislam baba ake kwa sasa marehemu mzee Sizya hua anaendaga san kwao amejenga nyumba nzuri sana nafikir kwa pale kijijini hana mpinzani...
Dada niache kwa Leo!!!
Kheeeeh kumbe waterzooh n Islamic? Kipi kilichomfanya abadili dini? N mama G au?
 
hilo ni lishoga basi linataka kutuaminisha kila mtu ni shoga, watu wote wa Tanzania yy ana information zao kua ni mashoga, yaani anataka kutuminisha ni suala la kawaida tu, Shenz kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza huu ubuyuu nimeanzisha mie? Km hapakuhusu nenda kwenye nyuzi zingne? Eboooooh.

Mapenzi ya maajizzoh na dozen, lawama nipewe mie inahusu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan mie nlikua mshenga? Au ndo nlimfuata majizzoh na gari? Unitue wee kaka, poleeeeeeeeh kwa kuteseka,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza huu ubuyuu nimeanzisha mie? Km hapakuhusu nenda kwenye nyuzi zingne? Eboooooh.

Mapenzi ya maajizzoh na dozen, lawama nipewe mie inahusu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan mie nlikua mshenga? Au ndo nlimfuata majizzoh na gari? Unitue wee kaka, poleeeeeeeeh kwa kuteseka,
We ni Ke...?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom