Mji mzito huu

Mji mzito huu

Katika harakati za uhai wake . Aliwahi kwenda kulala msibani ili tu aje na evidence 😁😁

RIP warumi.. kati ya watu niliokuwa nawafatilia sana ukimtukana kumsema vibaya awezi panic atakujibu kwa Hoja ...
usinikumbushe, af tulikaa hapa tunamsubiri atuletee habari za msibani! Da niliumia msiba wa huyu mtu kama namjua!
 
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa


Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo kwenye mahusiano yasiyofaa na mtangazaji wa kiume wa radio nyingine , ambapo mtangazaji huyo pia anamiliki duka la nguo.

Juzi kati maeneo ya bahari beach usiku kuliibuka na timbwili zito kati ya wawili wao, ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi, Boss huyo anatarajia kuoa hivi karibuni, ambapo mtangazaji huyo anapinga vikali na hataki kusikia habar za ndoa Kwan anataka kuendelea ku enjoy penzi na pesa za kibosile huyo ambaye kimuonekano ni mfupi na mpole asiye na makuu.

Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.


Mtangazaji huyo wa kiume anasifika sana kwa kusafir nchi mbali mbali duniani kwa pesa za mpenzi wake huyo wa siri ambaye inasemekana wapo wote mwaka wa tatu na nusu sasa, mmh mji mzito huu

Ila malkia wa mashauzi sijui atakua anamjua mke mwenzie mmh , mambo mengi mda mchache, Ila ata akijua atafanyaje? Chezeya nguvu ya pesa weye



Sasa hivi ntakua nawaletea ubuyu hot kwa code tu 🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
Continue to rest in peace Warumi, jukwaaa uliondoka nalo aiseeeh . Halijaweza kurudi ulipolifikisha! Kiukweli, I nikikumis napitia tu thread zako kama hivi , nacheka ,nalia af naishia kukuombea. Pumzika rafiki yangu!
Ahsante kwa wakati wako mzuri ulioutumia pamoja nasi, ulitupa tabasamu mpk siku za mwisho za uhai wako Warumi, kumbe unaumwa ila hukuacha kuja huku na kutuandikia tunacheka wewe unaugulia. DAH! I miss you ,hapa imebaki kama ndio mahala pekee naweza kufeel the laughters we shared! Uliniuma kiukweli, sijawahi kumlilia mtu nisiyemjua kwa kiwango nilikulilia!
 
Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.

Nimecheka🤣 sana eti mashemeji fekero huyo msanii mwenye dread sijui ni nani. Rip warumi
 
Back
Top Bottom