suzan benard, anakuaga na sam misago kwenye Enewz sa 12 jioniHuyo mtanga zaji anaitwa nani?
Tumeni hata picha si wengine story za kimbeya hatuzielewi
Sent using iphone
Dah, nimetoka kapa!!Tafsida za kufa mtu wandugu, tupieni hata kapicha basi nijiongeze.
Sheria za Jamiiforums zinazokua enforced na Mods haziruhusu Ku reveal personal details especially kwenye issues ambazo bado ni tetesi. Jf kuna Nyuzi nyingi tu, kama umeshindwa kufungua codes, tembea
suzan benard, anakuaga na sam misago kwenye Enewz sa 12 jioni
Hivi umeona video akihojiwa kuhusu mavuzi? Onyo lisingesaidia Bora wamemtimua kumaintain brand yao.Alijisahau sana huyo Suzy, kwanza kujichekesha chekesha kutwa na kumkumbatia sam, anavaa kama anaenda disko looH1 wangempa hata onyo basi ila kumtimua jumla pole yake, na kuna yule vanila dama wa 5 select nae anavaa matambara tu muda wote halafu nyodo kibao..
Nenda jukwaa la siasa umbea haukufai [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengi ni kama mazuzu mkuu, wanadhani wote tuna Tv ndani, au wanadhani wote tunaelewa mafumbo ya umbeya!
Nilichogundua watangazaji wengi wa kike ni malaya
Yule demu bana hajielewi kabisa afu hajiamini ndo mana anavaa kibamed muda wote
Mkuu Robot la Matope unaonaje ukianzisha uzi,Ma Suzana?!?!!?
Wahaya tunaharibu saaana majina.
Utasikia Bwentina badala ya Adventina
Au
Byatiligisi badala ya Beatrice
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
nimetafuta video clip zake nione huo msambwanda unaosifiwa hapa, nimebaki na butwaa, hakika watu hawajajua maana ya MSAMBWANDA bado.Weka picha unausifu msambwanda bila ya picha nomaa hio.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Iweje mtoa mada asifie msambwanda watu mpaka tumeunguza MB zetu kutafuta video clip zake mtandaoni
Iweje mtoa mada asifie msambwanda watu mpaka tumeunguza MB zetu kutafuta video clip zake mtandaoni