Mji mzito mnoo: Fununu: Mdada mtangazaji afukuzwa kazi,usagaji watajwa

Mji mzito mnoo: Fununu: Mdada mtangazaji afukuzwa kazi,usagaji watajwa

Tumeni hata picha si wengine story za kimbeya hatuzielewi


Sent using iphone
Dah, nimetoka kapa!!Tafsida za kufa mtu wandugu, tupieni hata kapicha basi nijiongeze.
Jf mimtu inatumia id fake lakini bado mi kunguru mpaka inakera

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za Jamiiforums zinazokua enforced na Mods haziruhusu Ku reveal personal details especially kwenye issues ambazo bado ni tetesi. Jf kuna Nyuzi nyingi tu, kama umeshindwa kufungua codes, tembea

Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
 
Kumbe ni mtangazaji? Binafsi nilivyoona video anazungumzia mavuzi nilisikitika sana nikajiuliza hivi hana wazazi au ndugu? Kama kweli amefukuzwa itakuwa vizuri, apokelewe clouds au wasafi wasiojali Mambo ya kipumbavu.
 
Alijisahau sana huyo Suzy, kwanza kujichekesha chekesha kutwa na kumkumbatia sam, anavaa kama anaenda disko looH1 wangempa hata onyo basi ila kumtimua jumla pole yake, na kuna yule vanila dama wa 5 select nae anavaa matambara tu muda wote halafu nyodo kibao..
Hivi umeona video akihojiwa kuhusu mavuzi? Onyo lisingesaidia Bora wamemtimua kumaintain brand yao.
 
Aiseee kama kweli basi umekula kwake! Au awe mwandishi wa kujitegemea kma Pascal mayala
 
Back
Top Bottom