Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacheki Al Jazeera news wanasema wameingia ila bado hawajauteka wewe umepata wapi hii habari?Siku ya Leo muda sio mrefu, waasi wa HTS wamefanikiwa kuiteka mji wa Homs ikiwa ni baada ya Jana kuuchuka mji wa Hama. Kwa Sasa kazi iliyobakia ni kuchukua mji wa Damascus.
Kunguru muoga hukimbiza bawa lakeNacheki Al Jazeera news wanasema wameingia ila bado hawajauteka wewe umepata wapi hii habari?
We wacha tu waendelee kuwateka na kuwaua Wapinzani.Kinachomkuta Assad ndicho kitakachowakuta CCM siku wakitolewa madarakani.
Kwa hiyo unaisifu Marekani?U.s kiboko asad alijua ngoma imeisha
hapana naisifu Syria ya asadKwa hiyo unaisifu Marekani?
hapana Syria ya asadKwa hiyo unaisifu Marekani?
Amka mkuu kumekucha utajinyea bure😀Sarakasi zoote hizo ni Mpango mzima wa watu wenye afya ya akili, USA zee la kuchezea akili za wajinga ili kuwatoa kwenye msitari,
Russia, atahakikisha vipi Assad haanguki wakati huo huo, Ukraine nayo anaishughurikia?
Russia anaenda kuanguka, na safati hii, kifo chake kitakuwa cha kishindo kikukuu, itakuwa ni fadhari hata kipindi cha SSR
Na tunapoandika hivi, zinahesabika siku chache sana mbele kabla ya Putin hajkaamatwa na kukatwa kichwa
Yetu macho, chezea shalubu za wazee?
Kabisa,ila hao jamaa watazifanya jamii za dini nyingine kuishi kwa shida,wiki iliyopita waliharibu miti ya xmass na kusema hapatokua na sherehe za xmass, kinyume kabisa na mtume alivyoishi na watu wa imani zingineMchezo umeisha.
Salamaleku sheheSiku ya Leo muda sio mrefu, waasi wa HTS wamefanikiwa kuiteka mji wa Homs ikiwa ni baada ya Jana kuuchuka mji wa Hama. Kwa Sasa kazi iliyobakia ni kuchukua mji wa Damascus.
DuSarakasi zoote hizo ni Mpango mzima wa watu wenye afya ya akili, USA zee la kuchezea akili za wajinga ili kuwatoa kwenye msitari,
Russia, atahakikisha vipi Assad haanguki wakati huo huo, Ukraine nayo anaishughurikia?
Russia anaenda kuanguka, na safati hii, kifo chake kitakuwa cha kishindo kikukuu, itakuwa ni fadhari hata kipindi cha SSR
Na tunapoandika hivi, zinahesabika siku chache sana mbele kabla ya Putin hajkaamatwa na kukatwa kichwa
Yetu macho, chezea shalubu za wazee?
Endeleeni kuamini kisichokuwepo mkuu,Amka mkuu kumekucha utajinyea bure😀
Hakuna kitu kama hicho mzeeKinachomkuta Assad ndicho kitakachowakuta CCM siku wakitolewa madarakani.
Umetumia cocaine mkuu?Sarakasi zoote hizo ni Mpango mzima wa watu wenye afya ya akili, USA zee la kuchezea akili za wajinga ili kuwatoa kwenye msitari,
Russia, atahakikisha vipi Assad haanguki wakati huo huo, Ukraine nayo anaishughurikia?
Russia anaenda kuanguka, na safati hii, kifo chake kitakuwa cha kishindo kikukuu, itakuwa ni fadhari hata kipindi cha SSR
Na tunapoandika hivi, zinahesabika siku chache sana mbele kabla ya Putin hajkaamatwa na kukatwa kichwa
Yetu macho, chezea shalubu za wazee?
Cheza na Marekani hawamtaki AssadKinachomkuta Assad ndicho kitakachowakuta CCM siku wakitolewa madarakani.