Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vigezo vinavyoangaliwa ili kupata hadhi ya Mkoa!! Njombe ni Mkoa kwasababu imekidhi vigezo hivyo ; na hapo Ifakara itapokidhi hivyo vigezo nayo itatunukiwa hadhi hiyo!!!Hivi inakuaje,Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini
Kuanzia kibaoni,mjini hadi Lipangalala,mjini ni wa moto sana.Ifakara kibaoni au ipi unayotaka kuifananisha na njombe .
Hiyo 1000 ni nauli au kilomita kutoka paleKule ulikopita tazara,Station ni mbali hadi kufika mjini Ifakara.Pale Station unapanda gari 1000 hadi mjini
Huijui njombe wewe!Hivi inakuaje,Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini
Unapnda gari 1000 Yani unaunga gari 1, 1 hadi zifike 1000Hiyo 1000 ni nauli au kilomita kutoka pale
Mji upo mbali na reli.. almost 6 km..Weka picha, mimi nilipita kwa Treni ya TAZARA niliona mapori na vijumba vidogovidogo tu.
Nami nataka nikawekeze kwenye big estates za mpunga,cocoa,mitiki,miwa.Kilombero teak plantation .Kilombero Plantation Ltd uwekezaji mega...Ifakara kumekucha
Kuna mtu atakuja kukwambia hujataja/fika Matarawe hali Matarawe yenyewe ni kijiji chenye vibanda vya vilivyobananaNjombe nimeishi miaka 3,nakujua hadi Lupembe,ukalawa,made kesho,kifanya,ikondo.
Njombe mjini ni sehemu ndogo sana,toka pale Hospital ya wilaya hadi uwanja wa ndege mji umeisha
Napata shida kiasi but Ifakara pamoto sana pako poa binafsi nilipapenda sana kuliko Njombe lakin ki ukweli Ifakara kwa Njombe bado kiasiHivi inakuaje, Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? Maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini.
Niongezee tu kwa TZ wilaya ambazo zinavibe ni pamoja Masasi, Mbinga,Kahama, Ifakara na Tunduma hizi sehemu huduma zote muhimu zipoNapata shida kiasi but Ifakara pamoto sana pako poa binafsi nilipapenda sana kuliko Njombe lakin ki ukweli Ifakara kwa Njombe bado kiasi