Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Ifakara kibaoni au ipi unayotaka kuifananisha na Njombe.
Labda anaiongelea Ifakara ya Katindiuka, Mwembetogwa, Mlabani, Silent Inn, Minepa, Viwanja 60, Lipangalala, Lumemo, Michenga, Ihanga, au Kihogosi!

Ifakara ni mji wa zamani na wa kihistoria. Ila kuulinganisha na Njombe, kiukweli ni uonevu. Labda Ifakara uilinganishe na Kilosa. Hapo sawa. Ufupi tu Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Kuanzia kwenye kipato na pia majengo.
 
Kilombero teak plantation .Kilombero Plantation Ltd uwekezaji mega...Ifakara kumekucha
Nimeishi Ifakara kwa miaka mingi! Hayo mashamba hayana tija yoyote ile kwa mwananchi mmoja mmoja!

Kipato kikuu cha wananchi kule ni zao la mpungu ambalo kiukweli linalimwa kwa kitumia njia za kizamani, za kutegemea mvua! Zaidi ya hapo ni uvuvi kupitia mto Kilombero.

Na wakati Njombe wanajihusisha na kilimo cha chai, miti ya mbao, matunda mfano parachichi, nk.
 
Weka picha, mimi nilipita kwa Treni ya TAZARA niliona mapori na vijumba vidogovidogo tu.
Mara nyingi njia za treni hupita nje mji, so usitegemee sana kuona nyumba nzuri au mazingira mazuri karibu na njia za treni.
 
Kuna vigezo vinavyoangaliwa ili kupata hadhi ya Mkoa!! Njombe ni Mkoa kwasababu imekidhi vigezo hivyo ; na hapo Ifakara itapokidhi hivyo vigezo nayo itatunukiwa hadhi hiyo!!!
Ifakara ilisha kidhi vigezo tangu awamu ya nne ya Jakaya, jina la mkoa lilisha pendekezwa, makao makuu ya mkoa yalisha pangwa na mpaka michoro ya ramani ya majengo ya makao makuu ipo tayari, sijui nini kinakwamisha.
 

Labda anaiongelea Ifakara ya Katindiuka, Mwembetogwa, Mlabani, Silent Inn, Minepa, Viwanja 60, Lipangalala, Lumemo, Michenga, Ihanga, au Kihogosi!

Ifakara ni mji wa zamani na wa kihistoria. Ila kuulinganisha na Njombe, kiukweli ni uonevu. Labda Ifakara uilinganishe na Kilosa. Hapo sawa. Ufupi tu Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Kuanzia kwenye kipato na pia majen

Minepa sio ifakara mkuu, inaoneka unajua ifakara ya zamani sana, Ifakara imebadilika na inaendelea kubadilika kwa kasi sana, unakaribishwa uje uwekeze mkuu.
 
Mkoa wa Morogoro umekosa watetezi. Viongozi wengi wamependa kupata na kuhidhi Ardhi wanahofu au maslahi binafsi kutokuugawa Mkoa wa Morogoro. Mkoa una vigezo vyote vya kuzaa Mikoa Mingine - Ukubwa Wa Eneo, Idadi yq Watu na Shughuli za Kiuchumi tangu pale Mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Mwanza na Shinyanga ilipokuwa inagawanywa kuzaa Mikoa Mingine. Mikoa mingine ilikuwa Upendeleo Tu wa Wazi kuvutia Uwekezaji wa Raslimali za Taifa kwa Makao Makuu ya Mikoa. Mji wa Mpanda na Kilosa kihistoria inafanana na Wilaya ya Kilosa ina Idadi kubwa ya Watu na Uchumi Mkonge iliufanya Maarufu lakini haukufanywa kuwa Mkoa- kulikoni kama sio Upendeleo wa aliekuwa WM Mhe MPP. Mkoa wa Morogoro sasa iwe na isiwe uzae Mikoa Mitatu (1) Morogoro - Makao Makuu Morogoro (2) Rubeho au Wami Makao Makuu Kilosa na (3) Kilombero au Ruaha au Ulanga - Makao Makuu Malinyi au Ifakara.
 
Mkoa wa Morogoro umekosa watetezi. Viongozi wengi wamependa kupata na kuhidhi Ardhi wanahofu au maslahi binafsi kutokuugawa Mkoa wa Morogoro. Mkoa una vigezo vyote vya kuzaa Mikoa Mingine - Ukubwa Wa Eneo, Idadi yq Watu na Shughuli za Kiuchumi tangu pale Mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Mwanza na Shinyanga ilipokuwa inagawanywa kuzaa Mikoa Mingine. Mikoa mingine ilikuwa Upendeleo Tu wa Wazi kuvutia Uwekezaji wa Raslimali za Taifa kwa Makao Makuu ya Mikoa. Mji wa Mpanda na Kilosa kihistoria inafanana na Wilaya ya Kilosa ina Idadi kubwa ya Watu na Uchumi Mkonge iliufanya Maarufu lakini haukufanywa kuwa Mkoa- kulikoni kama sio Upendeleo wa aliekuwa WM Mhe MPP. Mkoa wa Morogoro sasa iwe na isiwe uzae Mikoa Mitatu (1) Morogoro - Makao Makuu Morogoro (2) Rubeho au Wami Makao Makuu Kilosa na (3) Kilombero au Ruaha au Ulanga - Makao Makuu Malinyi au Ifakara.
Nakubaliana kuanzia mikumi kwenda kilombero, ifakara, mbingu,mgeta,mlimba malinyi kuwe na mkoa na makao makuu yawe pale Ifakara fikiria Kilosa inafika mpaka pale kwenye kiwanda cha sukari kilombero kama nipo sahii
 
Mkoa wa Morogoro umekosa watetezi. Viongozi wengi wamependa kupata na kuhidhi Ardhi wanahofu au maslahi binafsi kutokuugawa Mkoa wa Morogoro. Mkoa una vigezo vyote vya kuzaa Mikoa Mingine - Ukubwa Wa Eneo, Idadi yq Watu na Shughuli za Kiuchumi tangu pale Mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Mwanza na Shinyanga ilipokuwa inagawanywa kuzaa Mikoa Mingine. Mikoa mingine ilikuwa Upendeleo Tu wa Wazi kuvutia Uwekezaji wa Raslimali za Taifa kwa Makao Makuu ya Mikoa. Mji wa Mpanda na Kilosa kihistoria inafanana na Wilaya ya Kilosa ina Idadi kubwa ya Watu na Uchumi Mkonge iliufanya Maarufu lakini haukufanywa kuwa Mkoa- kulikoni kama sio Upendeleo wa aliekuwa WM Mhe MPP. Mkoa wa Morogoro sasa iwe na isiwe uzae Mikoa Mitatu (1) Morogoro - Makao Makuu Morogoro (2) Rubeho au Wami Makao Makuu Kilosa na (3) Kilombero au Ruaha au Ulanga - Makao Makuu Malinyi au Ifakara.
Umenena ishu ni ardhi wamehifadhi
 
Labda anaiongelea Ifakara ya Katindiuka, Mwembetogwa, Mlabani, Silent Inn, Minepa, Viwanja 60, Lipangalala, Lumemo, Michenga, Ihanga, au Kihogosi!

Ifakara ni mji wa zamani na wa kihistoria. Ila kuulinganisha na Njombe, kiukweli ni uonevu. Labda Ifakara uilinganishe na Kilosa. Hapo sawa. Ufupi tu Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Kuanzia kwenye kipato na pia majengo.
Ifakara ki biashara pamechangamka sana,na ndiyo maana Hadi Benki zinafunguliwa Hadi jumapili na siku za sikukuu,ampapo Njombe , Tabora,Iringa ,Sumbawanga,Mpanda nk. Hazifunguliwi.
 
Labda anaiongelea Ifakara ya Katindiuka, Mwembetogwa, Mlabani, Silent Inn, Minepa, Viwanja 60, Lipangalala, Lumemo, Michenga, Ihanga, au Kihogosi!

Ifakara ni mji wa zamani na wa kihistoria. Ila kuulinganisha na Njombe, kiukweli ni uonevu. Labda Ifakara uilinganishe na Kilosa. Hapo sawa. Ufupi tu Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Kuanzia kwenye kipato na pia majengo.
Si ndio hapo.
 
Ifakara ilisha kidhi vigezo tangu awamu ya nne ya Jakaya, jina la mkoa lilisha pendekezwa, makao makuu ya mkoa yalisha pangwa na mpaka michoro ya ramani ya majengo ya makao makuu ipo tayari, sijui nini kinakwamisha.

Unaweza kututajia wilaya za huo Mkoa pendekezwa wa IFAKARA?
 
Njombe nimeishi miaka 3,nakujua hadi Lupembe,ukalawa,made kesho,kifanya,ikondo.

Njombe mjini ni sehemu ndogo sana,toka pale Hospital ya wilaya hadi uwanja wa ndege mji umeisha
Ilikuwa mwaka gani??.
 
Ifakara ki biashara pamechangamka sana,na ndiyo maana Hadi Benki zinafunguliwa Hadi jumapili na siku za sikukuu,ampapo Njombe , Tabora,Iringa ,Sumbawanga,Mpanda nk. Hazifunguliwi.
Sasa mkuu huo Mji si unachangamshwa kibiashara na wageni! Hasa Wasukuma. Ila ukija kwa wenyeji, mambo siyo mepesi hata kidogo.

Nimeishi miaka mingi sana Ifakara. Ila ukiilinganisha na Njombe, naona kama Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Ifakara ingelinganishwa na Mji kama Kilosa vile, hakika Ifakara ingetisha mbaya.
 
Back
Top Bottom