King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
Ahahaa....lile daraja lipo chini sana so mvua ikipiga ya nguvu maji yanapita juu..Vipi hilo daraja la Lumemo wakati wa masika? Enzi naishi huko, mambo yalikuwa tofauti sana. Wasalimie pia makamanda wote wa Michenga na Mahutanga!
Poapoa kiongozi japo nmetoka muda sana uko