Mji wa Jerusalem na maajabu yake

Mji wa Jerusalem na maajabu yake

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
 
dahh matango pori tupu....hasa hyo namba 9 hakuna aliyewahi kumuona Mungu .....maneno haya si mageni mjini...labda kwa mgeni wa mji
 
dahh matango pori tupu....hasa hyo namba 9 hakuna aliyewahi kumuona Mungu .....maneno haya si mageni mjini...labda kwa mgeni wa mji
Mkuu hakuna tangopoli hata moja hapo. Hiyo ya tisa ni kweli tupu. Wewe hujasikia wanauita mji mtakatifu. Ugomvi wa dini tatu ( ukristo, u Islam, Uyahudi uko hapo). Shangaa mengine lakini hilo la tisa hapana
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Hiyo number 5 toka kitabu kipi ?
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Mungu yupi amekuwa akionekana kwenye huo mlima???,
Kumbuka kila jamii ina Mungu wake,sasa wewe sijui unamuongelea Mungu yupi?
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Hebu soma kikamilifu kitabu cha nabii Ezekiel 16:1-20 walau update kufunuliwa kuhusu Jerusalem
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Hii kwamba ipo katikati ya dunia ni chai!
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Waliokua wakionekana ni alliens,mpaka leo huja israel na maeneo mengine,ambayo kimsingi ni base zao,ni kama skin walker ranch na sehemu zingine,vyombo vyao vilikua vikitoa mwanga kama ambavyo hutoa siku hizi wakija
 
dahh matango pori tupu....hasa hyo namba 9 hakuna aliyewahi kumuona Mungu .....maneno haya si mageni mjini...labda kwa mgeni wa mji
Kwa hiyo unamaanisha Mungu hayupo?
Kama hukumwona mama yako wakati anakuzaa Labour utawezaje kumwona Mungu?
Mungu huwa tunaongea naye ila hatuwezi kumwona
 
Mji mkuu wa Israel Jerusalem una maajabu mengi.
Neno Jerusalem lina maana (misingi ya amani)

1) Uko katikati ya dunia.
2) Umezungukwa na milima
3) Manabii wote walifia Jerusalem
4) Yesu alisulubiwa Jerusalem
5) Adam alizikwa Jerusalem
6) Abraham alimtoa sadaka isaka Jerusalem
7) Ni chimbuko la dini mbili (Ukristo na Uyahudi)
8) Jina Jerusalem lipo sehemu mbili, duniani na Mbinguni
9) Mungu amekuwa akionekana Sana mji huu wa Jerusalem hasa miaka ile kabra ya Yesu
Dunia ilianzia hapo na itaishia hapo. Biblia inasema ni tego la mataifa watajikwaa hapo.
 
Back
Top Bottom