Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Ni kiwilaya kiliopo mkoa wa TaboraIgunga mkoa gani shekheee...
Hamna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kiwilaya kiliopo mkoa wa TaboraIgunga mkoa gani shekheee...
Hebu iboreshe taarifa yako kwa kuweka takwimu. Kitaifa mji wa kahama unashika namba ngapi kwa kukusanya mapato ya serikali?Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.
Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.
Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .
Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.
Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.
Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.
Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.
Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.
Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.
Asanteni naelekea Mwanza sasa
MadiniWanajivunia nini hasa kinacho waingizia kipato, ukienda Mafinga ni mbao, ukienda Makambako ni mbao hapo nini haswa watafutaji wanafanya nini kujiingizia kipato?
Yanachimbwa hapo hapo Kahama au kuna kituo cha kuuzia madini.
Wakati Kahama ukiwa Mji, Igunga nilikuwa kijiji kidogo tu pale barabara kuu itokayo Singida kwenda Mwanza. Ubavu huo wa kuitoa Kahama kibiashara iliutoa wapi? Kuweni wakweli bwana!Yaani unamaanisha kuwa Igunga iko juu ya Kahama!? Kwa biashara zilizopo mji wa Kahama, Igunga imeachwa mbali sana. Naona unalinganisha kifo na usingizi.
Daaah we jamaa ebu kuwa serious hata kidogo 😀Kahama karibu wataifikia igunga kwa kiwango kikubwa cha biashara![]()
Mkuu unautani wewe yaani unataka kufananisha Kahama na Igunga kibiashara Kahama is too far compare to Igunga labda kama hujawahi fika KahamaKahama karibu wataifikia igunga kwa kiwango kikubwa cha biashara![]()
Ushaita Mji sasa unataka Mji ulingane na Wilaya? Unaelewa ulichoandika?Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.
Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.
Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .
Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.
Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.
Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.
Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.
Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.
Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.
Asanteni naelekea Mwanza sasa
Igunga zaidi ya Shilole hamna kitu wanachoweza kulisaidia taifa letuKahama karibu wataifikia igunga kwa kiwango kikubwa cha biashara![]()
Miaka ya 70 mji wa Nzega uliongoza kuwa na baa nyingi nchini.Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.
Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.
Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .
Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.
Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.
Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.
Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.
Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.
Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.
Asanteni naelekea Mwanza sasa
Mji una Lodges/Guest Houses 200 zinaweza kupita, nyingi saa 5 usiku zinakuwa zimeshajaa.
Kuanzia Tazara hadi pugu zinafika 50Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.
Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.
Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .
Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.
Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.
Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.
Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.
Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.
Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.
Asanteni naelekea Mwanza sasa
Bila shaka unapenda wali na akina Joanah wa paleNa UKIMWI Kahama mwingi sana,Daah nakipenda sana kijiji cha Kagongwa
Wewe ndio umeweka orodha nzuriSehemu ambazo kwa biashara Tanzania ziko vizuri kwa mtafutaji ni kama ifuatavo, Kahama, katoro, lamadi, Igunga, manyoni, ifakara, Mbinga, Kasulu, Masasi, Mafinga, Njombe, Tunduma, Karatu, maeneo niliyotaja kibiashara yako vizuri na biashara inafanyika karibu mwaka mzima haitegemei msimu mmoja tu wa mazao. Na mengine ambayo sijayataja watasaidia wengine