Mji wa Kahama unaongoza kuwa na vituo vya mafuta kuliko wilaya yoyote hapa Tanzania

Mji wa Kahama unaongoza kuwa na vituo vya mafuta kuliko wilaya yoyote hapa Tanzania

Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.

Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.

Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .

Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.

Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.

Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.

Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.

Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.

Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.

Asanteni naelekea Mwanza sasa
Hebu iboreshe taarifa yako kwa kuweka takwimu. Kitaifa mji wa kahama unashika namba ngapi kwa kukusanya mapato ya serikali?
 
Wanajivunia nini hasa kinacho waingizia kipato, ukienda Mafinga ni mbao, ukienda Makambako ni mbao hapo nini haswa watafutaji wanafanya nini kujiingizia kipato?
 
Yaani unamaanisha kuwa Igunga iko juu ya Kahama!? Kwa biashara zilizopo mji wa Kahama, Igunga imeachwa mbali sana. Naona unalinganisha kifo na usingizi.
Wakati Kahama ukiwa Mji, Igunga nilikuwa kijiji kidogo tu pale barabara kuu itokayo Singida kwenda Mwanza. Ubavu huo wa kuitoa Kahama kibiashara iliutoa wapi? Kuweni wakweli bwana!
 
Kahama karibu wataifikia igunga kwa kiwango kikubwa cha biashara
emoji56.png
Daaah we jamaa ebu kuwa serious hata kidogo 😀
 
Kahama karibu wataifikia igunga kwa kiwango kikubwa cha biashara
emoji56.png
Mkuu unautani wewe yaani unataka kufananisha Kahama na Igunga kibiashara Kahama is too far compare to Igunga labda kama hujawahi fika Kahama
 
Tanga mjini kunavituo vya mafuta avizidi 25 ila inaibuluza mikoa mingi kwa mkwanja
 
Acha porojo weka takwimu mbona saiz miji mingi inavituo vya kutosha vya mafuta mf Kuna mji wa makambako
 
Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.

Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.

Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .

Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.

Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.

Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.

Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.

Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.

Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.

Asanteni naelekea Mwanza sasa
Ushaita Mji sasa unataka Mji ulingane na Wilaya? Unaelewa ulichoandika?

Kwa hiyo unashauri nini mkuu.
 
Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.

Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.

Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .

Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.

Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.

Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.

Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.

Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.

Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.

Asanteni naelekea Mwanza sasa
Miaka ya 70 mji wa Nzega uliongoza kuwa na baa nyingi nchini.
 
Sehemu ambazo kwa biashara Tanzania ziko vizuri kwa mtafutaji ni kama ifuatavo, Kahama, katoro, lamadi, Igunga, manyoni, ifakara, Mbinga, Kasulu, Masasi, Mafinga, Njombe, Tunduma, Karatu, maeneo niliyotaja kibiashara yako vizuri na biashara inafanyika karibu mwaka mzima haitegemei msimu mmoja tu wa mazao. Na mengine ambayo sijayataja watasaidia wengine
 
Wanasema tembea uone sio kuhadithiwa bwana. Wilaya ya Kahama hipo mkoa Shinyanga na ukanda wa Ziwa Victoria.

Uzuri wa Kahama ni mji unaokua kwa kasi sana ukilinganisha na sehemu nyingine ambazo mpaka mkono wa Serikali kusukuma.

Kwa idadi ya vituo vya kujazia mafuta Kahama kukadilia vinafika 50 na kitu yani ushindwe wewe kujaza mafuta .

Mji wa Kahama fursa za biashara na mawazo mapya ya biashara yapo hapa.

Wahamiaji toka mikoa mbalimbali ni wengi yani kiufupi kuna idadi kubwa ya watu toka mikoa mbali mbali na nje ya nchi.

Kahama kimapato kiukweli hipo vizuri na ndio maana hata ripoti za mapato toka TRA utaja sana sehemu hii.

Halmashauri na wilaya ya Kahama zinajitahidi sana kuboresha baada ya kuwa manispaaa sasa.

Wadau na wengine mkiona mnabanana mjini maana kama Dar bila mtaji wa kuanzia milioni 30 wewe ni machinga.

Njoo mje mjionee fursa na kutoa mjini na kuleta huku kama mtalalamika.

Asanteni naelekea Mwanza sasa
Kuanzia Tazara hadi pugu zinafika 50

Au wilaya uliyomaanisha n wilaya za huko huko except dsm?
 
Sehemu ambazo kwa biashara Tanzania ziko vizuri kwa mtafutaji ni kama ifuatavo, Kahama, katoro, lamadi, Igunga, manyoni, ifakara, Mbinga, Kasulu, Masasi, Mafinga, Njombe, Tunduma, Karatu, maeneo niliyotaja kibiashara yako vizuri na biashara inafanyika karibu mwaka mzima haitegemei msimu mmoja tu wa mazao. Na mengine ambayo sijayataja watasaidia wengine
Wewe ndio umeweka orodha nzuri
 
Back
Top Bottom