Mji wa Mwanza umekuwa na Joto kali sana

Mji wa Mwanza umekuwa na Joto kali sana

Edsger wybe Dijkstra

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2019
Posts
244
Reaction score
491
Wajomba na mashangazi hamjambo? Natumaini mko poa.

Ivi wakazi wa mwanza pamoja na wale ambao mmeutembelea mji huu siku za karibuni hamjagundua kuwa jua limekua kali sana likiambatana na joto la kufa mtu katika mji huu?

Nimeishi Mwanza toka mwaka 2000 hali haikua ivi , kuna mabadiliko makubwa ya hali ya hewa nadhani yanatokana na kuongezeka kwa pollution.

Au nasema uongo ndugu zangu? Jiji limekua la hovyo utadhani Dar es salaam !Mi nakua mkweli, msema kweli mpenzi wa Mungu.
 
Wajomba na mashangazi hamjambo? Natumaini mko poa.
Ivi wakazi wa mwanza pamoja na wale ambao mmeutembelea mji huu siku za karibuni hamjagundua kuwa jua limekua kali sana likiambatana na joto la kufa mtu katika mji huu? Nimeishi Mwanza toka mwaka 2000 hali haikua ivi , kuna mabadiliko makubwa ya hali ya hewa nadhani yanatokana na kuongezeka kwa pollution.
Au nasema uongo ndugu zangu? Jiji limekua la hovyo utadhani Dar es salaam !Mi nakua mkweli, msema kweli mpenzi wa Mungu.
Vaa barakoa vumbi ni hatari!
 
Wenyeji wanasema ni joto la mvua,,
Kwamba kuna mvua kubwa itanyesha
 
Back
Top Bottom