Mjihadhari sana na huu mtandao wa Tinder

Mkuu, ndani ya tinder huwezi kumkuta msichana mwenye akili zilizotimia. Wengi wao ni machizi wa kutupwa! Hawafai kula wala kulumangia!
 
We ndio huijui Tinder, unaowapa ushauri ndio wanaijua vizuri
 
Sasa tinder mbna ina afadhari, nenda Badoo na Romeo ukajionee maajabu, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Romeo sijawah itumia embu nitoe ushamba mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda kaingie, ila ile ya kulipia, hii ya free utakutana na chokoraa na visebengo vya kushatoo.

Ya kulipia ndo utakutana na watu wa kueleweka na maana.
 
Mchele kg 2000 Tandika sokoni nadhani huu Muda mkijiuza huko mitandaoni msisahau kununua Akiba ya chakula maana hiyo mili inachoka na Kesho hamuijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…