Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
A B C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ni wakati wa kuwahelimisha watuWashashindikana hao
Thamani ya wadada ipo kwenye bikira tuthamani, hadhi yako kama mwanamke au mwanaume inapungua maana taarifa zako zote mtandaoni zipo kukuhusu wewe nk.
Mkuu, ndani ya tinder huwezi kumkuta msichana mwenye akili zilizotimia. Wengi wao ni machizi wa kutupwa! Hawafai kula wala kulumangia!𝗦𝗵𝗶𝗱𝗮 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮
Kuna tabia kubwa inazidi kushika Kasi nchini Tanzania ya wadada lika mbalimbali kujirahisisha kwa kutaka maisha mepesi ni hatari Sana.
Kuna program inaitwa tinder kazi yake kutafuta mchumba online ukimpata basi mnakua wapenzi.
View attachment 2675388
Ni app ambayo wengi wanaamini zinaweza kuwasaidia kupata upendo Toka kwa watu wengine lakini ni hatari maana inasababisha tatizo la afya ya akili ukiendekeza sana.
Kumekua na wimbi kubwa la wadada wa kitanzania kuweka picha zao na maelezo kadhaa kujihusu wao kuwa wanatafuta wapenzi kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi jambo hii sio nzuri kabisa.
Njia wanayotumia sio ya kujiheshimu na wajichukulia poa kabisa utakuta mdada anaandika kwenye mtandao jina lake, mahali anapoishi , anatafuta mwanaume wa aina Gani nk unafikiri ni salama.
View attachment 2675389
Unajua kwanini Acha kabisa kutumia mtandao wa tinder [emoji116]
• inasababisha wasiwasi pamoja na stress mfadhaiko haswa inapotokea Kila ukiweka taarifa zako ujampata mtu sahihi.
View attachment 2675390
• pia Kuna matapeli wengi wanatumia picha za sura za watu wengine kujiunga na kutapeli watu
• Kuna magonjwa unaweza kuyapata bila kutarajia
• pia inahusisha masuala ya picha ya mwili ila kiuwalisia hujui chochote nyuma ya Huyo mtu unayetaka kuanzisha uhusiano naye jihadhari.
• unaweza tekwa bila kujijua na kutumika kingono
View attachment 2675391
• thamani, hadhi yako kama mwanamke au mwanaume inapungua maana taarifa zako zote mtandaoni zipo kukuhusu wewe nk.
Wadada wakaka Acheni kutumia mtandao kutafuta wachumba mjiheshimu [emoji2772]
Vipi umeshawahi kutumia mtandao wa kutafuta mchumba online ulifanikiwa kufunga naye ndoa tuachie maoni yako ?
We ndio huijui Tinder, unaowapa ushauri ndio wanaijua vizuri𝗦𝗵𝗶𝗱𝗮 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮
Kuna tabia kubwa inazidi kushika Kasi nchini Tanzania ya wadada lika mbalimbali kujirahisisha kwa kutaka maisha mepesi ni hatari Sana.
Kuna program inaitwa tinder kazi yake kutafuta mchumba online ukimpata basi mnakua wapenzi.
View attachment 2675388
Ni app ambayo wengi wanaamini zinaweza kuwasaidia kupata upendo Toka kwa watu wengine lakini ni hatari maana inasababisha tatizo la afya ya akili ukiendekeza sana.
Kumekua na wimbi kubwa la wadada wa kitanzania kuweka picha zao na maelezo kadhaa kujihusu wao kuwa wanatafuta wapenzi kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi jambo hii sio nzuri kabisa.
Njia wanayotumia sio ya kujiheshimu na wajichukulia poa kabisa utakuta mdada anaandika kwenye mtandao jina lake, mahali anapoishi , anatafuta mwanaume wa aina Gani nk unafikiri ni salama.
View attachment 2675389
Unajua kwanini Acha kabisa kutumia mtandao wa tinder [emoji116]
• inasababisha wasiwasi pamoja na stress mfadhaiko haswa inapotokea Kila ukiweka taarifa zako ujampata mtu sahihi.
View attachment 2675390
• pia Kuna matapeli wengi wanatumia picha za sura za watu wengine kujiunga na kutapeli watu
• Kuna magonjwa unaweza kuyapata bila kutarajia
• pia inahusisha masuala ya picha ya mwili ila kiuwalisia hujui chochote nyuma ya Huyo mtu unayetaka kuanzisha uhusiano naye jihadhari.
• unaweza tekwa bila kujijua na kutumika kingono
View attachment 2675391
• thamani, hadhi yako kama mwanamke au mwanaume inapungua maana taarifa zako zote mtandaoni zipo kukuhusu wewe nk.
Wadada wakaka Acheni kutumia mtandao kutafuta wachumba mjiheshimu [emoji2772]
Vipi umeshawahi kutumia mtandao wa kutafuta mchumba online ulifanikiwa kufunga naye ndoa tuachie maoni yako ?
Romeo sijawah itumia embu nitoe ushamba mkuuSasa tinder mbna ina afadhari, nenda Badoo na Romeo ukajionee maajabu, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alie onywa kaingia 😁😁😁Sasa tinder mbna ina afadhari, nenda Badoo na Romeo ukajionee maajabu, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii tupuuuAlie onywa kaingia [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda kaingie, ila ile ya kulipia, hii ya free utakutana na chokoraa na visebengo vya kushatoo.Romeo sijawah itumia embu nitoe ushamba mkuu
Uzi tayarA B C
🤣 🤣 🤣 🤣Uzi tayar