Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww sikiliza basi mmiliki wa nini ? Kwan yeye ndiye mtangazaji ?
Kuna wakati huwa tunajifunza mambo toka kwa wengine..!! unakuta mtu unatamani kumiliki au kuwa karibu na kitu fulani, lakini utafanikiwaje ndo unakuwa hujui. Sasa kumjua mmiliki inawezekana ukapata kujifunza nini ufanye toka kwake ili ufanikishe unaloliwaza.Ww sikiliza basi mmiliki wa nini ? Kwan yeye ndiye mtangazaji ?
😆😆Inawezekana ww ndie mmiliki ila unaleta Tangazo kijanja janja ili kuleta tention watu waifuatilie. Sasa lipia Tangazo
nimefikiria hiviHiviInawezekana ww ndie mmiliki ila unaleta Tangazo kijanja janja ili kuleta tention watu waifuatilie. Sasa lipia Tangazo
Roho yako ya kimaskini imekuiWw sikiliza basi mmiliki wa nini ? Kwan yeye ndiye mtangazaji ?
asanteee🤜🏻🤛🏻Kuna wakati huwa tunajifunza mambo toka kwa wengine..!! unakuta mtu unatamani kumiliki au kuwa karibu na kitu fulani, lakini utafanikiwaje ndo unakuwa hujui. Sasa kumjua mmiliki inawezekana ukapata kujifunzi nini ufanye toka kwake ili ufanikishe unaloliwaza.
ya masanja na katibu
92.5 dsm.Hiyo Radio Ipo Mkoa Gani, Inarusha Mawimbi Mpaka Wapi
Mbona Taarifa Ipo Kihuni Sana
Mnaongea Tunashindwa Kuwaelewa Imekuwa Kama Issue Ya Monica
Hiyo station ipo Zanzibar, ndio maana inaitwa mjini, mjini ni jina rasmi la wilaya ya Zanzibar ambapo kuna mji mkongwe, wilaya ndio ipo katika mkoa wa mjini Magharibi, ambao una wilaya mbili, wilaya ya Magharibi na wilaya ya mjiniHiyo Radio Ipo Mkoa Gani, Inarusha Mawimbi Mpaka Wapi
Mbona Taarifa Ipo Kihuni Sana
Mnaongea Tunashindwa Kuwaelewa Imekuwa Kama Issue Ya Monica
Hata mimi nahisi ni yeye maana ndie mtu pekee niliemuona kaipost hiyo radio, peke yakeSallam SK, Mendez
Mmiliki ni mimi hapa,,