The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
mama angu sio mburula hadi kuwa wa bongo hii.Na mama yako yumo mkuu ama?
Mi mwenyewe nilishahisi kuna kitu nyuma ya pazia.Mama Dully ana support ya ukoo mzima wa Madale
BORO HALIJAWAH KUMUACHA MTU SALAMA. YANI WANAGOMBEA DUDU AHAHA
hahahaaa sipati pichaMIMI NAMSHAURI ZARI AZAE NA ALLY KIBA..
AU MNAONAJE
Huyu Zari angezaliwa huku kwetu Kwamtogole sipati picha anaonekana ni mchokonoko sana
Best Zari angekuwa na busara asingemgusa nyumba mdogo kwa sasa, mke anaegombana na mchepuko wa mumewe anahitaji msaadaMie namuona mtu poa huyu ila usimparue au kuingia kwenye anga zake. Best ungekuwa wewe limekutokea hili baada ya minong'ong'ono ya muda mrefu ungekaa kimya!? Ila wote hawa bado wanapendana kwa sasa naona pamoja na kuwa penzi limetikisika wataendelea kuwa pamoja lakini ikitokea tena hakutakuwa na msalie mtume.
I doubt kama boss ladies ndo wako ivo[emoji43]Ndo tatizo lake yy anahis money is everything's while not anaumia mnoo anajipa tu moyo amrudie tu diamond maana atapagawa
Anahitaji psychological treatment haraka sana
Mama watano akili zake ziko matakoni mwake, mwanaume katia dem kwny kitanda chako na mimba juu zaidi Bado na bwana akawa anaenda kulea kitumbo Hlf Bado unajipa moyo unapendwa kwa hiki kisanga diamond anampenda hamisa sema anamuogopa zari na si kwmb anampenda kivile, hlafu misa inaelekea kwa kitanda yuko good itabidi nimchek anipe mautundu
Best Zari angekuwa na busara asingemgusa nyumba mdogo kwa sasa, mke anaegombana na mchepuko wa mumewe anahitaji msaada
Malipo ni hapa hapa wanawake tunajisahau sana zari alimtesa sana wema alimkashifu sana wema akaona kisa anapesa atamkamata diamond hakujua mwanaume nikama fagio [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] I swear am happy for this siku zote kunya anye kuku akinya bata kaharisha pia huyo mobeto yaonyesha kitandani yupo vizuri zari kitandani bado [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] but ajue mwanaume ni mwanaume usimthamini mwanaume siku yoyote anakubwagaKwelii.Inauma aisee.I feel for Zari.Hii itamuuma maisha hata km ataamua kuendelea na Diamond.Mbaya zaidi mchepuko una guts hadi mtu huelewi anazitoa wapi.Seems kuna force behind this. All in all sifurahii alichofanyiwa Zari.Its the worst experience a woman can go through! Maisha haya!!
Usaliti unauma asikwambie mtu sasa pia ajiulize amesahau aliomtendea wema malipo ni hapa hapaMie namuona mtu poa huyu ila usimparue au kuingia kwenye anga zake. Best ungekuwa wewe limekutokea hili baada ya minong'ong'ono ya muda mrefu ungekaa kimya!? Ila wote hawa bado wanapendana kwa sasa naona pamoja na kuwa penzi limetikisika wataendelea kuwa pamoja lakini ikitokea tena hakutakuwa na msalie mtume.
Usaliti unauma asikwambie mtu sasa pia ajiulize amesahau aliomtendea wema malipo ni hapa hapa
Mara ngapi my nishatendwa nishaumia ndio maana mtu akilalamika kusalitiwa najua maumivu anayopitia ila uyo acha ayapateKabisa DG! Watu wanafikia hadi kuua kwa kutendwa. Omba Mungu hili janga lisikukute.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] watu wanashindwa kutofautisha kati ya mapenzi Na pesa yaani nishidahhhWanawake wanakuwa wabaya sana hasa pale wanapokuwa wanajiproud....Thats why i love them and i hate them at the same time.
Kwani wema alifanyiwa nini ???Malipo ni hapa hapa wanawake tunajisahau sana zari alimtesa sana wema alimkashifu sana wema akaona kisa anapesa atamkamata diamond hakujua mwanaume nikama fagio [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] I swear am happy for this siku zote kunya anye kuku akinya bata kaharisha pia huyo mobeto yaonyesha kitandani yupo vizuri zari kitandani bado [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] but ajue mwanaume ni mwanaume usimthamini mwanaume siku yoyote anakubwaga