elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Awaache wote tu maana ananishangaza na ustar wake yuko busy na walioshazalishwa kwanini asitafute ambao ataanza kuwazalisha mwenyewe yani hadi rayvanny kamzidi akili boss wake kazaa na mtoto mbichiiiD akiumuacha H wanaume wenye afya zetu tutashangaa sana, ampe tena mtoto, uwezo anawo, tuendeleze dunia..Ka H kako safi sana aise...
Hamisa anataka undugu na watotonwa Zari kwa nguvu.. akaenda kuwafolo kupitia acc ya mwanae... ha ha haaaa
Watajijuuuuuuuuuu hao waswazi...
Zari wanyooshe tu.. eti prado eeeeeeh kweli mswazi hana akili.
Best Zari angekuwa na busara asingemgusa nyumba mdogo kwa sasa, mke anaegombana na mchepuko wa mumewe anahitaji msaada
Angeendelea kujiheshimu kama hivi siku za karibuni ingependeza!Atulie zilipendwa yeye kwa sasa hv
Yaaan...halafu alikuwa ashaanza kupendeza...kiki hizi!
Kamuweza kweli yaani kamdhalilisha sana ila inachoma kama pasiAnataka kick maana kick Ipo kwa hamisa sa hv
Laki 2 yeye ana madolari si ya mmwagie sasa. Pesa pesa na penzi penzi anaumia aache kujidanganya. Dai aoe wote bahna ili wasigombane.ooh am bosslady
i gt money moves
nmenunua gari mpya
laki2 stop following my team
bla blaaah....
huyu mama angefocus na wanae tu.. anatuchosha sasa mtu mzima akili kama za gigy[emoji23][emoji23].....
ndo mana kachapiwa ,amekosa hekima
wakisema waolewe misa atafaidika sana, kwasababu yeye anaishi hapa.Laki 2 yeye ana madolari si ya mmwagie sasa. Pesa pesa na penzi penzi anaumia aache kujidanganya. Dai aoe wote bahna ili wasigombane.
Mwanamke aliyesema sio level zake, cheap n. k kazaa na mumewe haya maisha hayana cha chura wala utamu akiamua anatoka tu
wakisema waolewe misa atafaidika sana, kwasababu yeye anaishi hapa.
zari hawezi kuishi madale hata sikumoja.
tatizo la bossfamous ana bla bla nyingi[emoji23][emoji23] ndo mana kagongewa
Ananunuliwa shogaa,,unaambiwa daimond anampenda hamissa vibayaaHear say nasikia baba Dully-Latifa mwenyewe anamkandya Zari, Hamisa asingeleta ushabiki maandazi hata nyumba angenunuliwa.
Support ya kinafiki,,mi ningeblock wote haoMama Dully ana support ya ukoo mzima wa Madale
Wewe hata alivyokuwa anaeleza alimuomba daktari wake awepo wakati Hamisa anazaa, alilala na mwanae kama humpendi mama utafanya yote hayo?Ananunuliwa shogaa,,unaambiwa daimond anampenda hamissa vibayaa
Nimeona picha za kihindii,kaja madale nin ahahah[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loooohh!!zari kamblock diamond rasm IG
CEO mwenyewe amejilinganisha na laki mbili ndiyo tunaposhangaaYani wanawake wengi wabongo wamejaa wivu , unafiki , roho mbaya ,umbea n'a uchonganishi this is the paining reality whether we like it or not. Mwanamke ni akili No wonder huwezi kumlinganisha Zari na Mobeto kama una akili timamu interms of brilliance in intellectual levels , creativity especially in business handling, branding and stuffs like that ,she runs one of the big business venture (company) which controlls Brooklyn city colleges in several states in South Africa as a CEO the position which was formerly held by her late husband Don Ivan SSemwanga. she has contributed to huge extent to mentor, beanding and making Platnumz to look as he looks today Diamond Platnumz ni the business brand kwa sasa so try to think leo anampa mswahili wa Mburahati majukumu hayo . Putting aside her weaknesses Zari is kind brilliant women that you can rarely see in our country Tanzania wengi ni upuuz na majungu tu