Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ni huyu shost alikutana na kijana wa ki Tanzania anaeishi ughaibuni kwenye harusi, kijana akiwa hajaoa alimchumbia shost sasa baada ya harusi shost anakwenda ughaibuni kama spouse.
Jamani afadhali wa Masaki na Mbezi wanatupia vile vineno "you know that is not acceptable ", Huyu shost ni wa kwetu Kwamtogole, habari ya huku ni "mama Irene unikome".
Safari ya shost ilikuwa ya masaa nane kwenye ndege, check in ilikuwa saa tano na ndege iliondoka saa saba mchana. Bibi yule tangia chai aliyokunywa kwao asubuhi mpaka anaingia ughaibuni hakula kitu chochote. Kila kilichopitishwa kwenye ndege alisema "no thank you" akiogopa majibizano ya zaidi, pia alihifia masikini kama chakula kinauzwa hayo majibizano ya bei yatakuwaje?
Jamani afadhali wa Masaki na Mbezi wanatupia vile vineno "you know that is not acceptable ", Huyu shost ni wa kwetu Kwamtogole, habari ya huku ni "mama Irene unikome".
Safari ya shost ilikuwa ya masaa nane kwenye ndege, check in ilikuwa saa tano na ndege iliondoka saa saba mchana. Bibi yule tangia chai aliyokunywa kwao asubuhi mpaka anaingia ughaibuni hakula kitu chochote. Kila kilichopitishwa kwenye ndege alisema "no thank you" akiogopa majibizano ya zaidi, pia alihifia masikini kama chakula kinauzwa hayo majibizano ya bei yatakuwaje?