Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,162
- 705
Eti huu msemo unamaana gani???????????????
Eti huu msemo unamaana gani???????????????
Yani mjini nyama ya ng'ombe inapendwa ya kiuno. kwa hiyo ukipata msingi fungua bucha uuze nyama ya kiuno! upo?
Du ma2c ya rejareja hayo
wewe uliusikia wapi na huko uliko usikia walisema una maana gani!Eti huu msemo unamaana gani???????????????
Inaonekana i kwamba ukitaka kujenga nyumba msingi ni kiuno!
Asa iv imepanda sio form 6 tena, ni certificate..