ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
Kumsamee nimemsamehe tena roho nyeupe ilamsaada huu anaotaka mgumu kdgSamehe saba Mara sabini, ujui tu ndoa zina siri uwezi kujua nini kilikuwa kinamzuia uncle wako kutoka kwenye mahusiano ayo uchawi n.k
Kuishi na mwanamke miaka hii ni zaidi ya vita.
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Hiki Kiswahili sasa kinapotea.Kama "ushauli" ulompa "akuerewa" "hachana" naye
KishazikwaHiki Kiswahili sasa kinapotea.
Sasa wewe umejuaje kua mke wa mjomba ndio kawatuma?,wa hao majambazi walikuambia kua mke wa anko yako kawatuma?Tusiache kutoa ushauri pale panapoitajika
Kuna anko wangu mmoja nilimpa ushauri kuhusu mwenendo wa mke wake kwa siku hiyo nilionekana mpuuzi leo yamemkuta mke wake kamtumia watu wa mpole pesa na kumvunja miguu Leo analia kama mtoto nakusema anko bora ningekusikiliza
Na anataka msaada wangu anko najua ukipona utakuja humu ni hivi malaika hatumwi kwa umbo lake huwa tunatumwa sisi binadam wa hovyo kiufupu msaada wangu hupati ule ushauri ndio msaada niliokupa umetosha
Asante
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Mi na mke wake Tulikuwa na ukaribu Sa a na ikapelekea kugundua haya na kuanza kumshaul anko mapemaaSasa wewe umejuaje kua mke wa mjomba ndio kawatuma?,wa hao majambazi walikuambia kua mke wa anko yako kawatuma?
Sio mjomba ni anko wangu[emoji12][emoji12][emoji12]Kumbe sio mjomba wako
Tarime moja hiyoHiki Kiswahili sasa kinapotea.
Jamaa anataka nifanya nimlegezee masharti anko au sijui ndio anko mwenyewe[emoji17][emoji17][emoji17]Mkuu ndenjii handsome njoo ujibu hizi tuhuma...
Daaah mkuu why umefukua kaburi hebu tuma salamu kwa wapenz wako wazamani wa5 [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]