Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko tuvumiliane umeni boa sana nimeshindwa kukuchana live[emoji57]Anko ndiyo umeona uje uniseme huku?? (Joke)
Sijamsimanga nimempa tu ushaul mwingine kuwa msaada sitoii [emoji26][emoji26][emoji26]Sasa mbona unakuja msimanga anko huku, si vizuri hata kama hakusikiza 'ushauli' wako
Huyu kafanya nn?Hahahaaa ndio huyu??
Tumsamehe wengine sio wa tz siunajua huu sio mtandao wa haloteli kusema unapatikana tsnzania tu[emoji13][emoji13][emoji13]Hiki Kiswahili sasa kinapotea.
Naifikisha ataipata nitakuja ijibu utapo ijibuPole yake sana...
Tena kaka yake maama ila ndio hvy ye si alikuwa mbishiiiMtoto wa mwanamke mwenzie
Taarime wap muraa hirii jamaa LA hapahapa darisilam muraa linajua kiswahili fasaha kabisa anatuchora tuTarime moja hiyo
Nitaua mtu,bora angeniachia mwananguTena kaka yake maama ila ndio hvy ye si alikuwa mbishiii
Kiswahili??!!Kama "ushauli" ulompa "akuerewa" "hachana" naye
Mbona yeye kaandika hivi hujamuuliza?