THAN0S
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 756
- 727
Wa chugga eh
Haka kajirani kangu mbona hahahah ngoja jioni nikamwambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka kajirani kangu mbona hahahah ngoja jioni nikamwambie
Mamaaa haya mapya sasa jamani, ila kazuri kale kadada sijui wanaume hawamuoni waoe,za kunyapia nyapia eti ukitaka mtoa lunch lazima kwanza uwe na gari na umwambie hotel gani unampeleka
Hivi wabongo hawa mabonge nyanya hua mnayapendea nini?
Unene sio afya mjue? hao ni walking time bomb anytime wanaweza anguka kwa presha, jitahidini kufanya mazoezi muwe na miili mizuri, haya mabonge yamejaa hata insta yana followers kibao sijui sababu hasa ni ipi.
Hahahaha ndio utafute nyingine kama unataka kula vitu vizuriHiki ki passo changu atakubali kupanda kweli... [emoji23]
Hahahaha ndio utafute nyingine kama unataka kula vitu vizuri
Dah ngoja tuendelee tukaze buti..ila wanaume hatukubali kushindwa nitakodi hata RangeHahahaha ndio utafute nyingine kama unataka kula vitu vizuri
Hivi huyu myra ni nani hapa mjini? Maana ni mtu wa photoshoot daily...East Afrika?!
Hata huyu tu hawezi kumfikia.
View attachment 1068245
Sent using Jamii Forums mobile app
Suzbeib ndo wa SingidaniHuyo mdada ni singida type nini,huwa naona hips na mguu haviendani[emoji2][emoji2]
NANYETUKA kwa siri sanaHivi huyu myra ni nani hapa mjini? Maana ni mtu wa photoshoot daily...
Sema hips zake haziko proportionate.. miguu midogoo
msifie mkeo mkuu,acha roho mbayahousegirl wangu mwenyewe kamzidi
Suzbeib ndo wa Singidani
Sihitaji kumjua wacha ninyetuke kwa picha yake