Tetesi: Mjue Aggy Nkurunzinza : Mwanamke mwenye wezere EAC nzima ,Sanchoka na Vera waende veta

Kuna siri gani ktk haya majina ya aggy,maana kuna aggy huku kitaa ana mzigoo hadi anashindwa kutembea vizuri
 
AISEY MAMAMAMAMAMAMAEEEEE HUU UUMBAJI KWA SISI WAZEE WA UFIDU LAZIMA TUINGIE VIKAONI KUWEKA MIKAKATI MIZITO..QUBABENYEEE DAH!!!
 
Acha uongo kuna mmoja hapa mtaani kwangu hivi vi saloon cars hawawezi kupanda maana tako tuu limeshajaza seat hata kuegemea hawezi
huyo sio mzuri tena ni mgonjwa inatakiwa wastani
 
Yaani isti afrika tutabaki nyuma kila siku badala ya kushindana miundo mbinu na maendeleo ya wananchi ... mnashindana makalio ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tutakuwa nyuma zaidi jukwaa la celebrities tukiwaza miundombinu
 
Tembea uone ndugu yangu

Huyu wakawaida sana mkuu, Kuna dem yupo muheza Tanga yaani huyu hta robo hafiki yaani huyo kila sector yupo vizuri

Kuanzaia uzuriwa sura mpak shape mguu hilo tako na mguu ni balaa huyu wakawaida hatishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ