Tetesi: Mjue Aggy Nkurunzinza : Mwanamke mwenye wezere EAC nzima ,Sanchoka na Vera waende veta

Usiseme EAC Mkuu... unafahamu kuna Wadada Wakali zaidi ya Hao uliowataja na kiwaweka hapo Juu Tanzania hii ila hawapendi kujionesha kwenye hizi Social Media zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanamke asiyependa kuonekana sema tu hawajapata chance ya kutrend...maana wanachofanya hakiwawezeshi kukick out..means wapo kwemye wrong site ya entertainment
 
Fito zimeshikilia ghorofa
 
Hivi wabongo hawa mabonge nyanya hua mnayapendea nini?
Unene sio afya mjue? hao ni walking time bomb anytime wanaweza anguka kwa presha, jitahidini kufanya mazoezi muwe na miili mizuri, haya mabonge yamejaa hata insta yana followers kibao sijui sababu hasa ni ipi.
 
Wezereeeeeeeeeeeee kereuwiiiiiiiiiii
 
Haaah haaaa dah! Maisha haya 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…