Tetesi: Mjue Aggy Nkurunzinza : Mwanamke mwenye wezere EAC nzima ,Sanchoka na Vera waende veta

Kumbe nina lifollow mkuu vizuri sana ila yote tisa mkuu bongo kuna mademu wazuri sana na hawapo huko ma instagram yani ukienda kariakoo, mwenge, mawasiliano unaweza ukajikuta badala ya kwenda mwenge unaenda msasani aisee
 
Kumbe nina lifollow mkuu vizuri sana ila yote tisa mkuu bongo kuna mademu wazuri sana na hawapo huko ma instagram yani ukienda kariakoo, mwenge, mawasiliano unaweza ukajikuta badala ya kwenda mwenge unaenda msasani aisee
Ni kweli usemayo.
 
Shule gani hiyo mkuu, jina lake alikuwa nani
 
Tembea uone! Nadhani hujatembea bado!

Nenda Tarime, Nenda Tarime, mkoani mara na pale musoma.
 


Hahaaha nacheka tu mie..hahahaa jus hahahhaa hahahaha jus hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…