Mjue Baba Vanga na maajabu ya ajabu

Mjue Baba Vanga na maajabu ya ajabu

La ISIS ningekubali kama wasingevurumishwa Iraq na syria lakini wanahamia kwingine kama Ikwiriri, Amboni, Somalia Kenya.
Clone hiyo iliishaanza tunaona mpaka kuna mbwa wenye sura za ajabu ambao wanazalishwa lakini siyo kwamba ni mbegu yao.
Kwenda kwenye Mars hata tusubiri on Sunday kile chombo kilichotumwa kwenye seventees kinakuja kufia kwenye sayari ya saturn. Kitatueleza siri tusiyoijua ya hiyo sayari. Vile vya mars vilishagundua na bado vipo busy.
Aliens tumeambiwa kwenye mapokeo na wapo wanaothibithisha kuwa hawa viumbe walishakuja. Watu wanauliza jinsi mapyramids ya South Amerika, Egypty kweli hayakupata usaidizi na kuhusu kanisa la mtakatifu Mary kule Ethiopia lililojengwa kwa kukata mwamba lilijengwaje? We are not alone.
Maua kawaida yana harufu lakini sasa hivi ua zuri lakini huna harufu sababu ya kuclone na sisi tumekuwa kama hao wanaokuja.
Je, Watanzania tutakuwa watu wa mwisho kuwa wenye akili nikimaanisha wagunduzi? Mnitoe mimi nimezeeka ila vijana ambao wanashinda humu wanaongea upupu kwa nini msianzishe group ya JF innovation group halafu mkatuomba hata contribution ili mradi mnasema mnataka kugundua nini, mko wapi na mna uwezo gani badala ya kwenda kwenye udaku na mahusiano na miziki ambayo you are not part of it.
Msipofanya hivyo climate change itakuja kabla hata sisi hatujaisha na nyinyi mtabaki yatima wenye njaa.
Nawakilisha.
cc. elmagnifico
Hata mimi nawashangaa vijana maana nami ni Muhenga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipofanya hivyo climate change itakuja kabla hata sisi hatujaisha na nyinyi mtabaki yatima wenye njaa.
Nawakilisha
Hahahaha...Bravo! nimecheka sana na kutafakari at the same time. ubarikiwe mkuu
 
Hahahaahaaa haya mambo yanatungwa na kusambazwa na shetan katika hali ga kufuta iman ya mungu na watu waaminj katika ulimwengu wa sayans na kupuuza uwezo wa mungu katika yale aliyoyasema katika vitabu vitakatifu
So sad eti binadam atashinda kifo wapi ilipo ile neno kila nafs itaonja umauti
 
4599

Kila nikiwaza kufa nachanganyikiwa.
 
Ila kwa kweli tujue tu kwamba kuna maisha baada ya haya, ila inatisha na kukatisha tamaa
 
"Kutokana na jua letu kupungua nguvu, hivyo binadamu atatengeneza jua litakalo mulika upande wa dunia ambao utakuwa umekosa nishati ya hili jua"

Nimeishia hapa kusoma, takataka! Hakujua nini kitatokea jua likichoma asilimia kubwa ya nishati yake na kupungua nguvu, huenda alifikiri jua ni tochi! The good news is, jua letu bado changa sana, bado lina nishati ya kuchoma miaka bilioni kadhaa ijayo! Uhai wa dunia utahatarishwa na vitu vingine lakini siyo jua kuisha nguvu, atleast not in the near future!
 
Huyo Mungu ni wa kufikirika zaidi, unaye kichwani mwako.
 
Back
Top Bottom