Mjue Baba Vanga na maajabu ya ajabu

Hata mimi nawashangaa vijana maana nami ni Muhenga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipofanya hivyo climate change itakuja kabla hata sisi hatujaisha na nyinyi mtabaki yatima wenye njaa.
Nawakilisha
Hahahaha...Bravo! nimecheka sana na kutafakari at the same time. ubarikiwe mkuu
 
Hahahaahaaa haya mambo yanatungwa na kusambazwa na shetan katika hali ga kufuta iman ya mungu na watu waaminj katika ulimwengu wa sayans na kupuuza uwezo wa mungu katika yale aliyoyasema katika vitabu vitakatifu
So sad eti binadam atashinda kifo wapi ilipo ile neno kila nafs itaonja umauti
 
4599

Kila nikiwaza kufa nachanganyikiwa.
 
Ila kwa kweli tujue tu kwamba kuna maisha baada ya haya, ila inatisha na kukatisha tamaa
 
"Kutokana na jua letu kupungua nguvu, hivyo binadamu atatengeneza jua litakalo mulika upande wa dunia ambao utakuwa umekosa nishati ya hili jua"

Nimeishia hapa kusoma, takataka! Hakujua nini kitatokea jua likichoma asilimia kubwa ya nishati yake na kupungua nguvu, huenda alifikiri jua ni tochi! The good news is, jua letu bado changa sana, bado lina nishati ya kuchoma miaka bilioni kadhaa ijayo! Uhai wa dunia utahatarishwa na vitu vingine lakini siyo jua kuisha nguvu, atleast not in the near future!
 
Ila kwa kweli tujue tu kwamba kuna maisha baada ya haya, ila inatisha na kukatisha tamaa
Kuna maisha baada ya haya, kwa wengine, si kwa wewe tena! Ukifa you are done dude.
 
Huyo Mungu ni wa kufikirika zaidi, unaye kichwani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…